GE2025 Shangwe Ayo: Tunajua mmejazwa uoga! Na huu ndio mtaji wa CCM na Serikali

GE2025 Shangwe Ayo: Tunajua mmejazwa uoga! Na huu ndio mtaji wa CCM na Serikali

Matukio, Taarifa, Habari na Mijadala ya Wananchi WAKATI wa Mchakato wa Uchaguzi Mkuu 2025

Waufukweni

JF-Expert Member
Joined
May 16, 2024
Posts
4,393
Reaction score
14,499
Naibu Mwenezi wa ACT Wazalendo Taifa, Shangwe Ayo amesema "Tunajua mmejazwa woga! Na huu woga ndio mtaji wa CCM na Serikali. Sasa niwaambie Wanashinyanga, woga haujawahi kuleta matunda kwa yeyote."

 
Mwenye Camera sijui mchukua video haujatutendea haki, hiyo camera ungeishusha chini kidogo tuone vitu fulani hapo chini maana inaokana si haba bibie...Vitu maalum vinamhusu katika vile viti tulivyokubaliana kuwapa ACT tudumishe demokrasia ya mapichamapicha.

ndani ya viunga vya Tehrani.
 
Back
Top Bottom