Jeff Kabwinde
Member
- May 29, 2019
- 11
- 22
Shangazi huku hali sio nzuri sana, WanaCHADEMA wamekwenda kuvuruga mkutano wa ndani wa CCM Singida Mashariki ikatokea fujo.
Wamewapiga wana CCM na wamewajeruhi baadhi ya wazee hapa tunawaza 2020 itakuwaje. Kitendo cha kinyama kabisa na waliofanya ni vijana tu wa red bregade waliopo kambi za mafunzo za Chadema Kaliua.
Nimekwenda kwa mjumbe nawapa hii taarifa mtusaidie sisi vijijini. Chama kama cha kigaidi[emoji15] sitaki mimi
Wamewapiga wana CCM na wamewajeruhi baadhi ya wazee hapa tunawaza 2020 itakuwaje. Kitendo cha kinyama kabisa na waliofanya ni vijana tu wa red bregade waliopo kambi za mafunzo za Chadema Kaliua.
Nimekwenda kwa mjumbe nawapa hii taarifa mtusaidie sisi vijijini. Chama kama cha kigaidi[emoji15] sitaki mimi