Raynavero
JF-Expert Member
- Apr 29, 2014
- 38,380
- 56,078
itadumu sana tu!!Du! Hii ndoa na mungu aibariki idumu hata mwaka
itadumu sana tu!!Du! Hii ndoa na mungu aibariki idumu hata mwaka
Sana hadi nimetamaniGauni zuri sana,kapendeza.
Mmmh kwani shamsa Ana mimbaKabisa,Mungu kampa hitaji la moyo wake.
Wapendane kweli jamani isijekuwa wameoana sababu ya hiyo mimba.
![]()
Uchawi sio lazima ubebe TunguriMimi kama mtabiri wa takaka, ninaipa mwaka mmoja tu![]()
Subiri unaeendana nae, mwisho wa siku utage**dwa na viserengeti boyi.Bwana Harusi kama haendani Na Shamsa. Okay..nimesahau .mwaume Pesa wala sio sura
yes ana mimbaMmmh kwani shamsa Ana mimba
acha tu,ngoja tusubiriNami nimeusikia Ruge sahivi anaitwa Abdullah, kweli k**ma thamana
kwani wameoana wale?!!chibu na zari?!!si wazinzi tu wale!!!pale kidini mondi hana mtoto watoto wa zarii!!Nawaombea wapendane haswa haswa wawaumbue nyie wote, labda watafata mkumbo wa Zarinah na Chibu. 😀
Anatafuta kiki huyoNey wa mitego nae kaja ju. Tuone movie itaishia wapi

Nlidhani tayariHehhehe hongera zao ,soon na mimi japo ni ya kanisanii

Heheheh bado,unaweza tia fursa piaNlidhani tayari![]()
![]()
![]()
Du! Hii ndoa na mungu aibariki idumu hata mwaka