Kabisa,Mungu kampa hitaji la moyo wake.Ila Shamsa katulia alikua hajapata mtu wakweleweka. Alifiki Nay ni husband material kumbe play boy. Ndomaana alivyoona mapichapicha kajingatua.
Gauni zuri sana,kapendeza.Wow gauni [emoji8] [emoji7] [emoji7] Mungu awasimamie isiwe Kama wanaigiza maana hawa nao hawatabiriki
hahahah eti idumu hata mwakaDu! Hii ndoa na mungu aibariki idumu hata mwaka
Hahahah kwanini mkuuDu! Hii ndoa na mungu aibariki idumu hata mwaka
Nimewaza kwa jicho la tatu dalloboy[emoji2] [emoji2] [emoji2] [emoji2] [emoji2]Hahahah kwanini mkuu
Ilikua ushauri tu ,samahani THT ila.....,usinichukuemimi sio me wala sio ke kwan we shida yako nini
Hata Mwaka....??[emoji33] [emoji33]Du! Hii ndoa na mungu aibariki idumu hata mwaka
wabongo kwa kuiga tuu. Yani wanaham ya kuwa waarabu kwa lazima