Shamimu Mwasha na Abdul Nsembo wahukumiwa kwenda jela maisha baada ya kukutwa na hatia ya kusafirisha Dawa za Kulevya

Hata yule Top, Mbunge wa Kinondoni alitajwa kuwa ndio muingizaji wa powder nchini na wenzake watatu, wote Waislam

Kifupi Uislam hauchukulii kuwa Kuuza au kutumia Heroine n.k ni dhambi wanaita Makurughu kama sigara tu

Yaani wanaipenda hii Biashara kuliko yoyote nyingine.
Yes ni kweli ,hata Elchapo na Escobar ni waislamu
 
Hawa wakipaki magari kuingia misikitini wanaheshimika mpaka Sheikh anawatetemekea kwakuwa wanaingiza Swadaka na Zakat wanatoa

Wanajifanya kuona kitimoto na pombe ndio haramu ila heroine na Cocaine sio

Mijusi hii.
Mbona wale wachungaji wa kinigeria waliokamatwa haujawataja ? VP kuhusu Yule mtoto wa lecturer na mjomba wake ?
 
Kabisa ni stori ya uongo hiyon. Nanukuu ushahidi wa askari toka mahakamani "Tulivyoenda tulimkuta Shamimu mke wa Abdul Nsebo mtuhumiwa tukamuuliza mumewe yuko wapi akawajibu askari ana wiki mbili hayupo nyumbani sababu za ugomvi wao. Askari waliomba kupekua nyumba shamimu akawataka awasachi kwanza kabla hawajapmpekuwa

Baaada ya kumaliza kuwapekuwa askari , askari hao waliingia ndani na moja ya chumba chao waliona vipande vya Gympsum (sealing board) chini vimedondoka! Kuashiria kuna mtu alipanda darini!! Askari hao walipanda darini na kumkosa lakini baadae nyuma ya mlango wa Tank la maji walimuona Abdul Nsebo amejificha....na kumtia Pingu alikutwa na Passport za kusafiria na kiasi cha hela na drugs"okay Kama wamemkuta madawa nayo Abdul kwann shamimu naye hashitakiwe kwa kosa la madawa ?
 
Nilichogundua huu uzi umeingiliwa na watumiaji wa hizo madawa wengi wanasapoti uuzwaju wa haya madawa bila kujua athar ambazo wameachan huku mtaani

Kama madawa haya n mazuri basi wangetumia wao wenyewe na kuwapa watoto wao lakn hukuti wakifanya haya wanataka familia za wengne ziangamie kwa kigezo cha kutafuta pesa

HALAFU Kuna hili swala wengi wanadai SHAMIMU alikuwa mtu poa usichojua wauzaji wengi wa hiz mambo hujifanya watu poa wenye huruma Sana na wanatoa misaada mingi had unashangaa siku mtu akikamatwa majiran wote wanakuwa upande wake sababu hakuonesha tabia au viashiria vya uuzaj wa ngada kitaalam tunaita kujivika ngoz ya KONDOO wakat wewe n CHUI

Kwa sisi tuliobahatika kuish maeneo yenye changamoto hizi tunajua uhalisia wa haya mambo na jins vijana wanavyoteseka tembelea SOBER HOUSE waulize waathirika wa madawa watakuambia mtiti wa kuachana na madawa ulivyo mgumu

Msidanganyike na sura upole na misaada wanayotoa hao watu mkadhan kwamba wao n wema hiyo n zuga tu wanawabrain wash ili muamini kuwa n watu salama CHONCHI alienda mbali akawa ananunua magar ya vituo vya polisi na kujaza mafuta magar yao unategemea polisi gan angeweza kumkamata kiurahis kwa network aliyokuwa nayo

Ndio maana mm namkubali Rais wa PHILIPPINES HON DUTERTE yeye n mwendo wa shaba tu hana mzaha wamexico waliiteka Philippines Kama yao kwa usambazaji wa ngada nasisi tulikuwa tunaelekea huko

Kiukwel nilipingana na the late Magufuli kwa mambo mengi ila kwenye hili la ngada nilimuunga mkono kwa asilimia zote namuweomba na madam president naye akomae na biashara hii had kieleweke
Well narrated
 
Yaani aliacha msomi. Jamaa kasoma na sister zangu pale Shycom then akasoma pale UDSM Bcom .Yule kaka alishaoa. Shamimu akaenda kwa wa la saba mtaka shortcut huyu mtu wa magomeni muuza unga. Tena Shamimu atakuwa anajutia sana.
Shamimu simshangai kumuacha huyu baba maana hatujui yaliyokuwemo na huwa sishauri kukaa kwenye vitu visivyoekeweka,ila mwanaume darasa la saba hata awe na pesa bado havutiii
 
Back
Top Bottom