Don Clericuzio
JF-Expert Member
- Dec 8, 2017
- 16,936
- 40,518
Hapo sasa.. na siamini kama Abdul alikua anaendelea na hiyo biashara. Baada ya masekeseke yote alibadilika kabisa.
Nakumbuka humu ililetwa thread ya Tajiri aliyekamatiwa Magomeni, naye ilikuwa gram 400. Najaribu kuitafuta hiyo thread.