Nimesoma na Shamimu Bungo PS akiwa darasa la saba mimi nipo darasa la tano lkn pia nilimkuta Morogoro Sec. Ki ukweli ni dada anayependa mambo makubwa tangu akiwa shule ya msinhi. Sishangai kwa haya ninayo yasikia kumuhusu. Ni dada wa mujini hasaa tangu ajiwa binti mdogoo.Madada wa mujini
Mange anasema Shamim aliingia mjini na lorry la mkaa akitokea Morogoro 😂Nimesoma na Shamimu Bungo PS akiwa darasa la saba mimi nipo darasa la tano lkn pia nilimkuta Morogoro Sec. Ki ukweli ni dada anayependa mambo makubwa tangu akiwa shule ya msinhi. Sishangai kwa haya ninayo yasikia kumuhusu. Ni dada wa mujini hasaa tangu ajiwa binti mdogoo.
Acha utoto mkuuSaf sana haya Mambo ndio napenda kuyasikia...chadema watapinga watasema anaonewa au serikali inataka kick
Nyanya vipi zimekomaa huko Magubike?Anaishi mbezi beach mi nakaa magubike? Mshahara 620.000 subject to deductions wambebe tu
Acha ushankupe weye nzi.Angepata utajiri ungejisogeza kuomba mtaji.Kibaravumba weye!Saf sana haya Mambo ndio napenda kuyasikia...chadema watapinga watasema anaonewa au serikali inataka kick
Mbona unakuwa kama mwanamke mchawi mkuu wapi umewasikia chadema wakitete huo uovu au chuki binafsiSaf sana haya Mambo ndio napenda kuyasikia...chadema watapinga watasema anaonewa au serikali inataka kick
Namkumbuka moja ya masister du wa Mkwawa High School enzi hizo akiwemo Irene Kiwia,Vivian Tillya (RIP),Maimartha Big Mama nkNimesoma na Shamimu Bungo PS akiwa darasa la saba mimi nipo darasa la tano lkn pia nilimkuta Morogoro Sec. Ki ukweli ni dada anayependa mambo makubwa tangu akiwa shule ya msinhi. Sishangai kwa haya ninayo yasikia kumuhusu. Ni dada wa mujini hasaa tangu ajiwa binti mdogoo.
Nyanya vipi zimekomaa huko Magubike?
Huyo siku hizi kawa kama CD (,changudoa alekosa soko).Nyuma hatikisiki wala mbele hachezi.Mbona unakuwa kama mwanamke mchawi mkuu wapi umewasikia chadema wakitete huo uovu au chuki binafsi
Hahahahahaaa! Dah!Mkuu umenikumbusha hao viumbe.Nimekumbuka na Baba Kadoda alivyonikimbiza kwenye shamba la mahindi kwa ku-dodge vipindi bweni la Lumumba.Hectic!Namkumbuka moja ya masister du wa Mkwawa High School enzi hizo akiwemo Irene Kiwia,Vivian Tillya (RIP),Maimartha Big Mama nk
Halafu Shamimu was bright darasani tatizo lake ni hilo la udada wa mjini.Namkumbuka moja ya masister du wa Mkwawa High School enzi hizo akiwemo Irene Kiwia,Vivian Tillya (RIP),Maimartha Big Mama nk
Mwanafunzi wa Luoga nakuonaNimesoma na Shamimu Bungo PS akiwa darasa la saba mimi nipo darasa la tano lkn pia nilimkuta Morogoro Sec. Ki ukweli ni dada anayependa mambo makubwa tangu akiwa shule ya msinhi. Sishangai kwa haya ninayo yasikia kumuhusu. Ni dada wa mujini hasaa tangu ajiwa binti mdogoo.
Tena huyu mwanaume aliyemuoa inasemekana alikuwa mwanaume Mboni MasimbaHuyu dada aliolewa ndoa ya kwanza na mwanaume mmoja mstaarabu sana. Walibahatika kupata mtoto wa kike. Yeye ndiye chanzo cha ndoa kuvunjika.
Sasa mwana kulitafuta mwana kulipata.
Hapo sasa.. na siamini kama Abdul alikua anaendelea na hiyo biashara. Baada ya masekeseke yote alibadilika kabisa.Halafu kwa nini hawa wanaokamatwa wanakutwa Grams 400?
Abdul ana macho alimpenda Shamim kama wife material, kule kwa Mboni aliona mapicha picha.Tena huyu mwanaume aliyemuoa inasemekana alikuwa mwanaume Mboni Masimba
So Shamimu akamzunguka shoga ake na kudate nae mpk kuoana
Km kawaida ushoga wa mjini kuzungukana
Hahahaaaa kweli alikuwa anaishi na baba yake Morogoro ila hakuw mshamba kibile labda ni kwsbb ya mji kasoro bahariMange anasema Shamim aliingia mjini na lorry la mkaa akitokea Morogoro
Hicho kipimo ndio uwezo wa punda wengi kumeza tumboni, elewa hao hawauzi kete kuna punda hapo lilandaliwa huo mzigo lije kumeza lipandishwe ndege lipelekeke sokoni.Nilitaka kupata ufafanuzi, inakuwaje wanaokamatwa wanakutwa na kipimo kinacholingana?
Niko najaribu kusearch threads kama 3 hivi ili niweke hapa, wajuzi watasema ni kwa nini.