lara 1
JF-Expert Member
- Jun 10, 2012
- 15,700
- 29,208
- Thread starter
- #101
kwani kila mtu akisoma THREAD yako lazima akubaliane na wewe??wapo wanaokubaliana na wewe na wapo wasiokubaliana na wewe.
No! Kama wewe hujakubaliana but umestick kwenye mada tu. Ila wenzio wanaachana na mada na kunisaka kidigitali kwa kuanza kunijadili mtoa mada, na kujifanya wananijua sanaaaa!
Sasa mtu akiniletea mazoea kumtukana kama mtoto mdogo becomes not optional but necessary.
Some of us like u run from insults and some if us stay back to fight till the end with honor.