malembeka18
JF-Expert Member
- Jan 26, 2018
- 2,780
- 2,716
Habari wakuu,
Nimekua nikisumbuliwa na maumivu ya upande wakushoto ktk bega na nyuma ya bega usawa wa moyo nimefanya ecg na echo nimebiwa echo Iko sawa. Ila ecg inaonyesha shida kidgo nkaambiwa haya maumivu yanasabishwa na mishipa midogo midogo iliyoko katika moyo haipati damu yakutosha. Nikauliza inatokana na nin akasema inatokea tu. So Ina nkapewa aspirin.
Wakuu nakuja kwenu kuuliza vip huwa kunautatuzi wamoja kwa moja kuifanya mishipa midogo midogo ipate damu yakutosha nakumaliza kabisa tatizo la maumivu
Nimekua nikisumbuliwa na maumivu ya upande wakushoto ktk bega na nyuma ya bega usawa wa moyo nimefanya ecg na echo nimebiwa echo Iko sawa. Ila ecg inaonyesha shida kidgo nkaambiwa haya maumivu yanasabishwa na mishipa midogo midogo iliyoko katika moyo haipati damu yakutosha. Nikauliza inatokana na nin akasema inatokea tu. So Ina nkapewa aspirin.
Wakuu nakuja kwenu kuuliza vip huwa kunautatuzi wamoja kwa moja kuifanya mishipa midogo midogo ipate damu yakutosha nakumaliza kabisa tatizo la maumivu