shamba shamba shamba

shamba shamba shamba

Pearl

JF-Expert Member
Joined
Nov 25, 2009
Posts
3,036
Reaction score
321
Shamba linauzwa kwa bei cheee, wahi sasa mapemaaaaaaaaaa arthi ni mali, shamba liko kiwangwa bagamoyo, bei nafuu sana, millioni moja kwa acre, kwa maelezo zaidi ni pm.
 
BagAmoyo sehemu gani, hebu tupe adress ya muuzaji au simu zake
 
Limepimwa lkn offer bado jaitatoka

Asante mkuu kwa hiyo taarifa, tafadhali nikuulize swali mmoja jingine maana unaonekana kuwa mdau wa Bagamoyo; je ninaweza kupata kiwanja Bagamoyo mjini hususani eneo la ukuni. Kama una taarifa zozote nicheki kwa PM
 
Mmh sorry no idea
asante mkuu kwa hiyo taarifa, tafadhali nikuulize swali mmoja jingine maana unaonekana kuwa mdau wa bagamoyo; je ninaweza kupata kiwanja bagamoyo mjini hususani eneo la ukuni. Kama una taarifa zozote nicheki kwa pm
 
Shamba ni kubwa sana more than 50 acres ww sema unataka ngapi

Leta namba zako za simu hapa.
Liko umbali gani toka Bagamoyo na liko umbali gani toka barabara kuu.
Mna nini shambani humo?

Leta namba za simu (au ni-PM)
 
Shamba linauzwa kwa bei cheee, wahi sasa mapemaaaaaaaaaa arthi ni mali, shamba liko kiwangwa bagamoyo, bei nafuu sana, millioni moja kwa acre, kwa maelezo zaidi ni pm.

Naweza kupata simu yako nikupigie kama hilo shamba bado lipo
 
Back
Top Bottom