Shamba Mtwara na Lindi

Shamba Mtwara na Lindi

CHAPS

New Member
Joined
Sep 29, 2011
Posts
4
Reaction score
0
Habari zenu wanajamvi!
Natafuta shamba la bei rahisi kidogo mikoa ya Mtwara na Lindi linalofaa kwa kilimo cha Korosho, mwenye nalo tafadhali tuwasiliane.
 
Habari zenu wanajamvi!
Natafuta shamba la bei rahisi kidogo mikoa ya Mtwara na Lindi linalofaa kwa kilimo cha Korosho, mwenye nalo tafadhali tuwasiliane.

Shamba la bei rahisi kama shilingi ngapi kwa ekari?? I mean umejipangaje?
 
Lipo lenye mikorosho tyr

Eka 1 tshs 1000000
Habari zenu wanajamvi!
Natafuta shamba la bei rahisi kidogo mikoa ya Mtwara na Lindi linalofaa kwa kilimo cha Korosho, mwenye nalo tafadhali tuwasiliane.
 
Back
Top Bottom