Shamba la eka moja linauzwa maeneo ya vikindu.
sikufundishwa kuandika tangazo la biashara skul. si unajua tena skul za chini ya mwembeVkindu ni kubwa au sio.....whereabout in vikindu mkuuu???Lazima tukubali wabongo tuna kauvivu fulani vile.Tangazo gani hili la biashara???Au ndo shule zetu!!!
Correct English should be "approximately 15 mins on foot" - JF tunaelimishana sio kukosoana.off kilwa road like 15 mins by feet from the main road.
Wewe ndio mwenye shamba, nokoa au middle person? Kwa ye yote anayehusika, tupatie contact yake - simu au barua pepe.Bei ni 2,000,000Tshs.(2 milioni)
mimi sio mwenye shamba, mwenye shamba ni my sibling, anatafuta mteja hivyo nikaona bora niweke hapa JF tangazo. kama unahitaji kweli nitumie PM.Correct English should be "approximately 15 mins on foot" - JF tunaelimishana sio kukosoana.
Wewe ndio mwenye shamba, nokoa au middle person? Kwa ye yote anayehusika, tupatie contact yake - simu au barua pepe.
mimi ninalo la ekari 18 lipo vikindu (vianzi)manyani bei ni 35,000,000/ ni pm tuongeeJamani nielewesheni, eka moja ni shamba au ni kiwanja?? Nashauri sema kiwanja chenye square metre 4,900 kinauzwa shilingi 2,000,000/=. Pretty kama kuna la kuanzia eka 5 na kuendelea nitumie kwenye pm kabisa.