Shamba linauzwa kibada

Shamba linauzwa kibada

Akiri

JF-Expert Member
Joined
Sep 21, 2010
Posts
1,445
Reaction score
217
Shamba linauzwa kigamboni kibada ni km 17 toka feri.

lipo kibada maeneo ya fullshangwe, lina ukubwa wa heka 1 , limejaa minazi .kutoka barabarani ni umbali wa 0.4 km. umeme upo jirani ni nguzo 1 tu! bei 25m. shamba hili lipo sehemu nzuri ambapo majirani tayari wamejenga nyumba.

kwa muhitaji tuwasiliane 0755 099 291 & 0657 145555
 
Nawashukuru watu mnaopiga cm na wengine email bei inapungua kidogo nadhani muda c mwingi biashara hii itaisha .
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom