Shamba linauzwa Kahama

Shamba linauzwa Kahama

Wakuu kutokana na vyuma kukaza ninauza Shamba langu ambalo ni ekari 8 Shamba lipo Kahama kijijini linafaa kulimwa mazao yote bei ni laki 300000 kwa ekari karibuni sana

Kahama kunavijiji vingi mkuu
1.ulowa
2.masabi
3.bugomba
4.nyamtengera
5. Nk
 
Wakuu kutokana na vyuma kukaza ninauza Shamba langu ambalo ni ekari 8 Shamba lipo Kahama kijijini linafaa kulimwa mazao yote bei ni laki 300000 kwa ekari karibuni sana
Umesema maji yako karibu naomba kujua chazo cha maji ni mto ziwa bomba au bwawa na maji yako umbali gani kutoka shambani

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom