- Thread starter
- #21
Vijana wangu wameniambia maji yamejaa shambani wahi na power tiller katayalishe shamba ulime mpunga.shukrani nitakutafuta ubarikiwe
Tusiwe wazito watanzania
Vijana wangu wameniambia maji yamejaa shambani wahi na power tiller katayalishe shamba ulime mpunga.shukrani nitakutafuta ubarikiwe
nami nahitaji kulima nikatie bure nije kulimaMaji labda mchimbe
Pembeni panapita mto ambao ni wa msimu,
Kwa kipindi cha mvua huwa nawaachia wanakijiji kulima mpunga.
Kama sasa hivi wapo wengi wamekatiwa bure
Toa shaka sikodishi.nami nahitaji kulima nikatie bure nije kulima
Duh mi nkajua watu wazur namna hii waliisha kwenye vita ya maji maji......Toa shaka sikodishi.
Jipange uje ulime kwa nguvu zako bureeee
Basi huko ni kunisulubisha bure.Duh mi nkajua watu wazur namna hii waliisha kwenye vita ya maji maji......
Dunia bado nzur kumbe
Jamani vijana mnitumie namba tuungane tuingie mzigoni fursa hiiKama utahitaji nitakupatia sehemu ulime hata heka 10 nguvu zako, sitokukodisha.
Akipatikana mnunuzi ukishavuna unamuachia shamba lake
Wewe ni mmoja ya watu wenye roho nzuri mnooUtanipata kwa namba hii +9715544462182.
Watsp namba +255686083382