pappilon
JF-Expert Member
- Jan 27, 2015
- 3,192
- 3,577
Mkuu shamba ninauza kwa bei ya kutupa hiyo kutokana na sifa ya shamba lenyewe. Sina haraka nitapata mteja mapema tu
Kila la kheri mkuu
Mkuu shamba ninauza kwa bei ya kutupa hiyo kutokana na sifa ya shamba lenyewe. Sina haraka nitapata mteja mapema tu
Shukran mkuu na nimetoa room kwa ajili ya mazungumzo pia kwa pungufuKila la kheri mkuu
Shukran mkuu na nimetoa room kwa ajili ya mazungumzo pia kwa pungufu
Sawa mkuu ishu hali yenyewe ni kama unavoiona mwenyewe ila tuombe Mungu labda mambo yanaweza badilika huko tuendako..