Green pasture
Member
- Feb 14, 2017
- 38
- 6
- Thread starter
- #21
Shamba bado lipo wakuu!
Fedha pendekezwa bado ipo mkuu.Shamba bado lipo wakuu!
Fedha pendekezwa bado ipo mkuu.
Fedha pendekezwa imepungua kalaki,tumalizane ndugu yangu ili kisije kikaishia kwengine.Shamba bado lipo wakuu
Fedha pendekezwa imepungua kalaki,tumalizane ndugu yangu ili kisije kikaishia kwengine.
Tayari nimekutumia ujumbe.Njoo Pm mkuu
Sawa,Nitafute utakapoona ofa yangu inaweza akituleta karibu na kufanya biashara.""
Nimeshakujibu boss
Umbali Gani toka barabara ya lami mkuuMimi ninazo ekari hamsini Kijiji cha Msinune, ukitoka kiwangwa -barabara ya msata Bagamoyo Ni km 6 tu, sehemu ya Shamba kama ekari 15 ina miti kiasi ya Teak , machungwa Na miembe,Bei Kwa eneo lenye Miti ni 2,500,000 Kwa ekari Na ambalo Galina miti Ni 1,500,000 kwa ekari.
Ni km tano kutoka pale Bago au sita kutoka kiwangwaUmbali Gani toka barabara ya lami mkuu
Huo ndio urefu kutoka barabara iendayo Msata kwenda hadi shamba lilipo?Ni km tano kutoka pale Bago au sita kutoka kiwangwa
Yes,Huo ndio urefu kutoka barabara iendayo Msata kwenda hadi shamba lilipo?