Wakuu naomba msaada ni wapi ntapata shamba la kuanzia hekari 12 na kuendelea nje kidogo ya jiji la DR ES SALAAM kwani nina kamradi kadogo ka ufugaji nataka kuanzisha kujikwamua na uchumi unaopaa wa JK. Shamba si lazima sana liwe na ardhi yenye rutuba japo mambo ya msingi kama MAJI(mto, maji ya kisima au bomba), UMEME na barabara ni muhimu sana.
Mwenye detail hasa bei na maeneo naweza kupata naomba amwage hapa au ani-PM
Natanguliza shukrani sana na MUNGU awabariki.