Shamba la ekari 50 linauzwa kibaha

dalalitz

JF-Expert Member
Sep 6, 2013
3,332
1,862
Shamba zuri la ekari 50 linauzwa kwa pamoja.
Ni mahala pazuri pia kwa mradi wa viwanja kwa wale wanaoona mbali na wenye uwezo au sehemu kwa ajili ya ujenzi wa taasisi za kielimu.
Lipo kilometa 4 kutoka barabara kubwa, Eneo ni tambarale.
Bei ya jumla kwa ekari zote 50 ni Tshs. 200M (Milioni mia mbili tu.)
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom