Arushaone
JF-Expert Member
- Mar 31, 2012
- 15,136
- 13,258
Kwa macho yangu leo asubuhi nimeona lile shamba la Alyce Kimaro aliyekuwa mbunge wa Vunjo limekatwakatwa migomba karibu yote kama lilivyokatwa tena 2 years ago. Huo ni muendelezo wa uvamiz na hujuma dhidi ya settlers waliotapakaa Meru nzima. Shamba lenyewe liko kati ya Makumira na Tengeru panaitwa Madira Estate.