shamba,Eneo linatafutwa

shamba,Eneo linatafutwa

Ados

Senior Member
Joined
Feb 26, 2011
Posts
117
Reaction score
20
Eneo linatafutwa lenye ukubwa wa heka 1-3 Barabara morogoro kunzia kibamba mpaka Visjga kama una Eneo katika sehemu hiyo nijuze ofer yako tufanye biashara ni PM
 
Mkuu mimi nina maeneo mengi sasa inategemeana na matumizi yako , kibaha ukipita mizani nina heka 2, kipo barabarani kabisa, ukipita viwanja 3 ukitoka hapo nina 3,zingine. pale visiga nina heka 4.5 zinaanzia pale sheli inapoishia. mlandizi nina heka shamba la heka 50 ndani lina mifugo na umeme na bwawa. kama unamaanisha nipigie tuongee biashara 0657 145555, 0755 099 291 na 0686 200 117, mimi ni dalali wa viwanja na nyumba
 
Eneo linatafutwa lenye ukubwa wa heka 1-3 Barabara morogoro kunzia kibamba mpaka Visjga kama una Eneo katika sehemu hiyo nijuze ofer yako tufanye biashara ni PM

Mimi nina shamba Mbezi Luis (Kwa Beda) kama mita 200 toka Morogoro Road. Bei Tshs 80M. Kama uko serious nipigie.

Simu: 0715 488 669.
 
Back
Top Bottom