Shamba bei pooooaaa!

Jichokuu

Member
Joined
Apr 28, 2012
Posts
48
Reaction score
1
Wanajamii heshima kwenu!Nimeona vema niwashirikishe, kuna jamaa yangu amebanwa na majukumu ambayo yamemlazimu kuuza kiwanja/shamba lake lenye ukubwa wa heka moja kwa sh mln 3.5 tu,liko kibaha msangani km 6 toka kwa mathias,kinafikika bila taabu. Kwa maulizo;
0719081205
 
Nina Mil.1.5 vipi inalipa tufanye biashara?
 
Nina Mil.1.5 vipi inalipa tufanye biashara?

hapana mkuu hiyo ni pesa pia lkn bado uko mbali, pengine ungesema 2.9-3.2mln.Jiongeze mkuu huyu m2 kabanwa kama nilivyosema anahitaji hiyo pesa.
 
hapana mkuu hiyo ni pesa pia lkn bado uko mbali, pengine ungesema 2.9-3.2mln.Jiongeze mkuu huyu m2 kabanwa kama nilivyosema anahitaji hiyo pesa.

Hilo shamba linafanana na lingine lililopo Visiga Madafu (3km frm Morogoro Road) linalouzwa 3.5m @acre. Duh sijui nikanunue wapi sasa maana bei naiona ipo juuuuuuu
Hivi chalinze siwezi pata angalau acre 5 kwa 1m jumla?
 
Hilo shamba linafanana na lingine lililopo Visiga Madafu (3km frm Morogoro Road) linalouzwa 3.5m @acre. Duh sijui nikanunue wapi sasa maana bei naiona ipo juuuuuuu
Hivi chalinze siwezi pata angalau acre 5 kwa 1m jumla?

Kwa chalinze sijui,ila wajua ardhi inapanda kila leo kwa hiyo fanya uamuzi mkuu,waweza zungumza na ikapoa.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…