Shaka Ssali: Tatizo ni wananchi sio watawala

Shaka Ssali: Tatizo ni wananchi sio watawala

Kwa hiyo anachotaka kutwambia Shaka Ssali ni watu kutumia nguvu kuwaondoa watawala madarakani ikibidi? Tumuulize yeye alipokuwa Luteni katika jeshi la Iddi Amin na akashiriki kwenye njama za kumpindua Iddi Amin baada ya jaribio lao kushindwa na baadae yeye na wenzie kufukuzwa jeshini, aliporudi uraiani aliendeleza vipi mikakati ya kudai haki zake (kama mwananchi na pia wananchi wenzie Uganda) kutoka kwa watawala wachache? Sana sana aliufyata kisha akatimkia zake Ujerumani na kisha Marekani.

Mkuu pengine wewe ndo hujamuelewa vizuri bwana Ssali hata kama mchango wake unahatarisha maslahi yako lakni jaribu kuelewa anachozungumza
 
Hebu fikiria mtu amekuwa kiongozi wa nchi tangu Uhuru hadi Leo yupo jimboni kwako anaomba kura na wewe unamshabikia eti anafaa! Jiulize wewe utaongoza lini! Waliosoma lini watapata nafasi kama hiyo! Hv mtu tangu Uhuru hadi Leo hajachuma tu za kumtosha! Bado unampa kura halafu kesho unaanza lalamika eti hamna kitu anachofanya! Zinduka! Sisi watanzania tunashida kubwa sana hatujielewi kwa kweli!
 
Watawala wako kwenye ajira zao, maisha yao na familia zao yanasonga mbele hata kama yale ya wananchi wao hayasongi mbele.

Shaka Ssali anasema uzembe uko kwa wananchi wenyewe wasiofahamu namna ya kuzidai haki zao mbele ya watawala wao kwa vizingizio tofautitofauti ukiwemo woga, ukosefu wa ujasiri na ufahamu kuhusu haki zao wanazoporwa na namna ya kuzidai.

Kama vile watawala wachache wanavyotumia njia mbalimbali kupokonya haki za wengi ndiyo hivyohivyo wananchi walio wengi wanavyopaswa kutumia njia mbalimbali kuzidai kutoka kwa watawala walio wachache.

well said asee
 
Maendeleo ya Tanzania yataletwa na WaTanzania wenyewe.
Mwananchi aka Mtanzania ndio mwenye Nchi, na wala si Watawala au Viongozi.
Bad Officials are Elected by Good Citizens who do not Vote.
If you don't Vote, You lose the Right to Complain.
Go and Vote & Your Vote Count.
[FONT=helvetica, arial, sans-serif]Kuna Maisha Baada ya Uchaguzi !!!![/FONT]


Watawala wako kwenye ajira zao, maisha yao na familia zao yanasonga mbele hata kama yale ya wananchi wao hayasongi mbele.

Shaka Ssali anasema uzembe uko kwa wananchi wenyewe wasiofahamu namna ya kuzidai haki zao mbele ya watawala wao kwa vizingizio tofautitofauti ukiwemo woga, ukosefu wa ujasiri na ufahamu kuhusu haki zao wanazoporwa na namna ya kuzidai.

Kama vile watawala wachache wanavyotumia njia mbalimbali kupokonya haki za wengi ndiyo hivyohivyo wananchi walio wengi wanavyopaswa kutumia njia mbalimbali kuzidai kutoka kwa watawala walio wachache.
 
Back
Top Bottom