Watawala wako kwenye ajira zao, maisha yao na familia zao yanasonga mbele hata kama yale ya wananchi wao hayasongi mbele.
Shaka Ssali anasema uzembe uko kwa wananchi wenyewe wasiofahamu namna ya kuzidai haki zao mbele ya watawala wao kwa vizingizio tofautitofauti ukiwemo woga, ukosefu wa ujasiri na ufahamu kuhusu haki zao wanazoporwa na namna ya kuzidai.
Kama vile watawala wachache wanavyotumia njia mbalimbali kupokonya haki za wengi ndiyo hivyohivyo wananchi walio wengi wanavyopaswa kutumia njia mbalimbali kuzidai kutoka kwa watawala walio wachache.
Shaka Ssali anasema uzembe uko kwa wananchi wenyewe wasiofahamu namna ya kuzidai haki zao mbele ya watawala wao kwa vizingizio tofautitofauti ukiwemo woga, ukosefu wa ujasiri na ufahamu kuhusu haki zao wanazoporwa na namna ya kuzidai.
Kama vile watawala wachache wanavyotumia njia mbalimbali kupokonya haki za wengi ndiyo hivyohivyo wananchi walio wengi wanavyopaswa kutumia njia mbalimbali kuzidai kutoka kwa watawala walio wachache.