shalet
JF-Expert Member
- Feb 12, 2013
- 3,440
- 3,606
Tupia angalau beti moja tafadhali,
mkuu napenda kusoma mashairi ila kipaji/elimu hiyo ya kutunga sina.
Tupia angalau beti moja tafadhali,
Andanenga malenga wetu.
Kwa kweli tunda ni tamu, kama umejitwalia,
Sukariye ni adimu, adhimu wengine hulia,
Si mithili kujikimu, pspf chungulia,
Tunda lina baraka, haulipati kondeni.
Tunda halinishi hamu, kila siku najilia.
Lina utamu adimu, siwezi kisimulia.
Limenitoa fahamu, nakula huku nalia.
Ninaye ndege mzuri, mrembo wa kupendeza,
rangi zake mashuhuli, ni nne nawaeleza,
ndizo rangi za fahari, urembo kuutimiza,
Ndege huyu ndege gani, hapa kwetu Tanzania.
Rangi ya nne buluu, mkiani kaeneza,
rangi ya bahari kuu, na maziwa yalojaza,
ndege arukapo juu, rangi hii hutokeza,
ndege huyu ndege gani, hapa kwetu Tanzania.
😛eep: 😛eep: 😛eep:
Tunda halinishi hamu, kila siku najilia.
Lina utamu adimu, siwezi kisimulia.
Limenitoa fahamu, nakula huku nalia.
Hongera sana kwa kucopy na kupest kutoka kwenye Kitabu cha watoto wa std III!!!!!
Walila huku walia, na macho wayarembua!
Na sauti wazitoa, za mahabat murua!
Mwishowe unakojoa, na mwili kukulegea!!!!
Hatari sana!!!!!!!
Na mwili ukilegea, jua umefika mwisho,
Bao si la kuzembea, kidume kuvuja jasho,
Migu chelewa tembea, Kimara to Mbezi Mwisho,
Hatari sana!!!!!
Hahaaaa madam umetishaa,
Na mwili ukilegea, jua umefika mwisho,
Bao si la kuzembea, kidume kuvuja jasho,
Migu chelewa tembea, Kimara to Mbezi Mwisho,
Hatari sana!!!!!
Tunda tamu mali yangu, ng'ombe kenda nilitoa,
Mtini la pepesuka, kutwa lina randaranda, Nahisi ninaibiwa, tunda langu la adhimu,
Michepuko liacheni, moyo wangu huna hamu.
Tunda halishi kinywani, wala ladha kupungukwa.
Nala leo na mwakani, tena bila ya kuokwa.
Tunda linafichwa ndani, haliwezi kuanikwa.
Naulinda mti wangu, unatunda la ajabu.
Duh we ni noma haya bhana !
Bao si la kuzembea, kidume huvuja jasho!
Raha hapo huzidia, mwili huwa na mshawasho!
Mwisho mwili hulegea, mchezo mefika mwisho!!!
Na dushelele hunywea, na papuchi huwa moto!!!!
Twende kazi madameeee!!!!
Jamani mume mtamu, nyie nisikilizeni,
Hakika haishi hamu, ashkin majinuni,
halafu awe mtamu, weza hata lamba koni,
Mume wangu muacheni, utamu napata mimi.
Utamu wake mwandani, jamani niachieni,
Anipayo kitandani, siri yangu kifuani,
Ananikata maini, atiapo nyama ndani,
Mume wangu muacheni, utamu napata mimi.
MZEE RAZA,twende kazi!!!!!!