Mmawia
JF-Expert Member
- Aug 20, 2013
- 122,521
- 96,267
Ukiona mtu mwanaume anakimbia matatizo basi ujue yeye ndiyo chanzo cha matatizo.Mkuu Dotto
1. Mtamlaumu bure, kuhama halali yake,
Kujiunga ni kwa bure, kuhama ni haki yake,
Ukizoea vya bure, tavunja heshima yake,
Mtatiro amehama, sababu ya matatizo,
2. Sababu ya matatizo, Mtatiro amehama,
Upinzani ni tatizo, na wengine watahama,
Wapinzani matatizo, wote watakuja hama,
Mtatiro amehama, sababu ya matatizo.
3. Nchi yetu ni tatizo, watu wetu matatizo,
Viongozi ni tatizo, wananchi matatizo,
Vyama vyetu ni tatizo, serikali matatizo,
Mtatiro amehama, sababu ya matatizo.
4. CUF ina matatizo, CCM ni tatizo,
Amehama matatizo, amehamia tatizo,
Chama chenye matatizo, ameongeza tatizo,
Mtatiro amehama, sababu ya matatizo.
5. Chadema ni matatizo, viongozi ni tatizo,
Sera zake matatizo, na misingi ni tatizo,
Wakimbia matatizo, waenda kwenye tatizo,
Mtatiro amehama, sababu ya matatizo.
P.
ivi si msaidizi wake suruhu si alikua hapo juzi tu!Magufuli aje na Mbeya. Sio kila siku Mwanza tu. Tumechoka kubaguliwa wakati kodi zetu mnachukua.
Mkuu Dotto
1. Mtamlaumu bure, kuhama halali yake,
Kujiunga ni kwa bure, kuhama ni haki yake,
Ukizoea vya bure, tavunja heshima yake,
Mtatiro amehama, sababu ya matatizo,
2. Sababu ya matatizo, Mtatiro amehama,
Upinzani ni tatizo, na wengine watahama,
Wapinzani matatizo, wote watakuja hama,
Mtatiro amehama, sababu ya matatizo.
3. Nchi yetu ni tatizo, watu wetu matatizo,
Viongozi ni tatizo, wananchi matatizo,
Vyama vyetu ni tatizo, serikali matatizo,
Mtatiro amehama, sababu ya matatizo.
4. CUF ina matatizo, CCM ni tatizo,
Amehama matatizo, amehamia tatizo,
Chama chenye matatizo, ameongeza tatizo,
Mtatiro amehama, sababu ya matatizo.
5. Chadema ni matatizo, viongozi ni tatizo,
Sera zake matatizo, na misingi ni tatizo,
Wakimbia matatizo, waenda kwenye tatizo,
Mtatiro amehama, sababu ya matatizo.
P.[/QUOTE
na wewe pia tatizo!
Nyie si mna rais wenu wa Mbeya?Magufuli aje na Mbeya. Sio kila siku Mwanza tu. Tumechoka kubaguliwa wakati kodi zetu mnachukua.
Ni kweliNa wewe pia ni...
Kwani Mbeya si mna Rais wenu au? Magufuli amewapa muwakilishi wake RC sasa mwatakani?Magufuli aje na Mbeya. Sio kila siku Mwanza tu. Tumechoka kubaguliwa wakati kodi zetu mnachukua.
Lina maana zaidi ya 365.Hivi r.i.p si lina maana zaidi ya mbili?
haha haa.. Sawa sawa!Ni kweli
P.
Najaribu kufikiri jambo moja, ni ukweli usiopingika kuwa Mtatiro njaa imembana hasa tumboni. Lakini kichwani hajaingiliwa na njaa maana uwezo hajauvua. Sasa jee atakapoanza kuwa anapewa matamko ya kutamka kutoka kwa yule empty head Mr Slow2 atakubali kujivua ufahamu kwa akili ya njaa ya Tumbo?
Kweli matatizo ongeza matatizo, ni tabu Sana juu ya shida.Mkuu Dotto
1. Mtamlaumu bure, kuhama halali yake,
Kujiunga ni kwa bure, kuhama ni haki yake,
Ukizoea vya bure, tavunja heshima yake,
Mtatiro amehama, sababu ya matatizo,
2. Sababu ya matatizo, Mtatiro amehama,
Upinzani ni tatizo, na wengine watahama,
Wapinzani matatizo, wote watakuja hama,
Mtatiro amehama, sababu ya matatizo.
3. Nchi yetu ni tatizo, watu wetu matatizo,
Viongozi ni tatizo, wananchi matatizo,
Vyama vyetu ni tatizo, serikali matatizo,
Mtatiro amehama, sababu ya matatizo.
4. CUF ina matatizo, CCM ni tatizo,
Amehama matatizo, amehamia tatizo,
Chama chenye matatizo, ameongeza tatizo,
Mtatiro amehama, sababu ya matatizo.
5. Chadema ni matatizo, viongozi ni tatizo,
Sera zake matatizo, na misingi ni tatizo,
Wakimbia matatizo, waenda kwenye tatizo,
Mtatiro amehama, sababu ya matatizo.
P.
kwa matatizo ya Cuf, mtatiro ana sababu zenye hoja na mashiko, ila kakosa uvumilivu
Tatizo hawana means ya kupata kipato zaidi ya kupiga domoNajaribu kufikiri jambo moja, ni ukweli usiopingika kuwa Mtatiro njaa imembana hasa tumboni. Lakini kichwani hajaingiliwa na njaa maana uwezo hajauvua. Sasa jee atakapoanza kuwa anapewa matamko ya kutamka kutoka kwa yule empty head Mr Slow2 atakubali kujivua ufahamu kwa akili ya njaa ya Tumbo?
Wanaatafuta kiki ni wasaka tonge wengi wao.Kama ni matatizo kila sehemu nini mantiki ya kuhama?
Ufinyu wa fikra,uvumilivu na ubunifu. Njaa na uviziaji wa fursa kichocheo.
Mkuu Dotto
1. Mtamlaumu bure, kuhama halali yake,
Kujiunga ni kwa bure, kuhama ni haki yake,
Ukizoea vya bure, tavunja heshima yake,
Mtatiro amehama, sababu ya matatizo,
2. Sababu ya matatizo, Mtatiro amehama,
Upinzani ni tatizo, na wengine watahama,
Wapinzani matatizo, wote watakuja hama,
Mtatiro amehama, sababu ya matatizo.
3. Nchi yetu ni tatizo, watu wetu matatizo,
Viongozi ni tatizo, wananchi matatizo,
Vyama vyetu ni tatizo, serikali matatizo,
Mtatiro amehama, sababu ya matatizo.
4. CUF ina matatizo, CCM ni tatizo,
Amehama matatizo, amehamia tatizo,
Chama chenye matatizo, ameongeza tatizo,
Mtatiro amehama, sababu ya matatizo.
5. Chadema ni matatizo, viongozi ni tatizo,
Sera zake matatizo, na misingi ni tatizo,
Wakimbia matatizo, waenda kwenye tatizo,
Mtatiro amehama, sababu ya matatizo.
P.