Mindyou
JF-Expert Member
- Sep 2, 2024
- 2,439
- 6,691
Wakuu,
Huyu Shahidi mwanzoni alisema kuwa anaishi Moshi Kiranyi. Lissu akamuuliza kuwa nani kampa nauli ya kuja kutoa ushahidi kwenye hiyo kesi, akasema kuwa hiyo nauli kapewa na mwanamke wake na ndo ambaye anamuweka mjini
Mhe. Lissu: Umekujaje Mahakamani leo?
Shahidi wa kificho P7 : kwa miguu
Mhe. Lissu: Toka kiranyi?
Shahidi wa kificho P7 : Kwa Basi.
Mhe. Lissu: Nani alikupa nauli?
Shahidi wa kificho P7 : Mwanamke wangu.
Mhe. Lissu: Nani anayekuweka mjini hapa?
Shahidi wa kificho P7 : Mwanamke wangu.
Mhe. Lissu: Je tangu walipoandika maelezo yako Polisi tarehe 17/04 mmekuwa mnawasiliana na Mapolisi
Shahidi wa kificho P7 : Hatujawahi kuwasiliana tena
Soma Pia:
Huyu Shahidi mwanzoni alisema kuwa anaishi Moshi Kiranyi. Lissu akamuuliza kuwa nani kampa nauli ya kuja kutoa ushahidi kwenye hiyo kesi, akasema kuwa hiyo nauli kapewa na mwanamke wake na ndo ambaye anamuweka mjini
Mhe. Lissu: Umekujaje Mahakamani leo?
Shahidi wa kificho P7 : kwa miguu
Mhe. Lissu: Toka kiranyi?
Shahidi wa kificho P7 : Kwa Basi.
Mhe. Lissu: Nani alikupa nauli?
Shahidi wa kificho P7 : Mwanamke wangu.
Mhe. Lissu: Nani anayekuweka mjini hapa?
Shahidi wa kificho P7 : Mwanamke wangu.
Mhe. Lissu: Je tangu walipoandika maelezo yako Polisi tarehe 17/04 mmekuwa mnawasiliana na Mapolisi
Shahidi wa kificho P7 : Hatujawahi kuwasiliana tena
Soma Pia:
- Shahidi wa Kesi ya Lissu (P7): Nauli ya kuja mahakamani leo nimepewa na mwanamke wangu. Ndiye ananiweka mjini
- Kesi ya Tundu Lissu kuendelea leo Februari 17, 2026, mashahidi wa Jamhuri wasiopungua watatu wangojewa
- Kesi ya uhaini dhidi ya Lissu: Shahidi wa saba kati ya 30 wa Jamhuri kuanza kutoa ushahidi
- Kesi ya Lissu | Shahidi wa Siri (P6): Lissu alisema tunakwenda kuvuruga uchaguzi na kukinukisha
- Kesi ya Lissu: Hiki ndicho Kizimba cha mashahidi wa kificho, kilichosababisha Kesi kuahirishwa
- Baada ya takribani miezi mitatu, kesi ya Tundu Lissu kuendelea leo Februari 9, 2026
- Kesi ya Lissu: Mahakama yaagiza Kizimba cha Mashahidi wa siri kirekebishwe Majaji wawaone. Kesi kuendelea Feb 12, 2026
- Kesi ya uhaini ya Lissu, mahakama kutoa uamuzi wa mapingamizi leo Feb 11, 2026
- Kesi ya uhaini ya Tundu Lissu kuendelea Februari 9 hadi Machi 6, 2026
- Shahidi wa kesi ya Lissu (P7) anasema alikamatwa mara tu baada ya kuangalia video ya Lissu iliyokuwa Jambo TV
- Kesi ya Lissu | Shahidi wa siri (P5): Niliona video ya Lissu akisema atakinukisha, uchaguzi mkuu hautafanyika
- Mama wa CHADEMA azimia mahakamani baada ya Lissu kudai kunyimwa chakula
- Mahakama kuu, Kanda ya Dar es salaam Tarehe 11 Februari, 2026 kutoa uamuzi mdogo katika kesi ya Uhaini inayomkabili Tundu Lissu
