gidjr
Member
- Apr 9, 2014
- 82
- 24
Ifike wakati watu wajifunze, na wajue uongo mkubwa wa hawa waganga.
Watu wanadanganywa kama watoto wadogo, halafu baada ya kudanganywa, bado kuna watu wanawatetea humu JF.
Hebu tujikumbushe kuhusu udanganyifu wa mganga huyu....
Mnamkumbuka tapeli huyu aliyesababisha vifo vya watu wengi sana..???
Babu wa Loliondo..
Watu walimuamini sana kwa sababu ya ujinga wao, watu walakiwa pesa zao na hawakupona.
Wakati ule huyu babu angesema kuwa sharti mojawapo la kupona ni 'kuingiliwa' kimwili, kuna watu wangekubali..!!!!
Watu hao hao pia wangepeleka magari yao huko wakampe mganga..!!
Mpaka leo hakuna watu tena wanaoenda huko....
Hapo unaweza kusema kuwa watu hawaugui tena..?? Mbona hawaendi huko Samunge..??
Kwa upande mwingine mjinga akifundishwa anaweza kuwa mjanja, ila unapoita wajinga wakati kuna public figure zili attend samunge, unanitia shaka na hii lugha yako.
Kama kuna kiongozi wako wa nchi alifika kule samunge naye ni mjinga? anawezaje kukuongoza?
The truth has to be told in the right way not by calling people bad names.