Shahada Feki Vyuo Vikuu

tatanyengo

JF-Expert Member
Mar 30, 2011
1,134
280
Imebainika kuwa asilimia 80 ya shahada hizo si halali. Walakini wa shahada hizo, umebainika kupitia utafiti uliofanywa na Dk Eliamani Sedoyeka wa Chuo cha Usimamizi wa Fedha (IFM) cha jijini Dar es Salaam. Katika utafiti huo, mhadhiri huyo, amebaini kuwa wahitimu wengi ama wameiba au wamenakili tafiti zao za mwisho kutoka katika tafiti za watu wengine au kwenye mitandao.

My take: Vyuo vikuu vinapaswa kuwa na mikakati ya kutafuta namna ya kubaini udanganyifu, vinginevyo tutakuwa na Doctors wa ajabu ajabu.


Source: Gazeti la Mwananchi
 
huyo Dk Eliamani Sedoyeka mbona tunasikia na yeye vyeti vyake Feki, tunachotaka ni kazi, yuko Profesa mmoja (km sikosei Tuntemeke Sanga) alimwambia mwl nipishe nitawale kwani mm nimesoma sana hapa nchini kuliko wote.
Hivi kuna kitu gani hapa Duniani utaandika ambacho ni kipya kabisa, labda urudi kutoka jehanamu au km kuna Mbingu
 
huyo Dk Eliamani Sedoyeka mbona tunasikia na yeye vyeti vyake Feki, tunachotaka ni kazi, yuko Profesa mmoja (km sikosei Tuntemeke Sanga) alimwambia mwl nipishe nitawale kwani mm nimesoma sana hapa nchini kuliko wote.
Hivi kuna kitu gani hapa Duniani utaandika ambacho ni kipya kabisa, labda urudi kutoka jehanamu au km kuna Mbingu
Tuntemeke Sanga hakuwa professor ila alikuwa na degree 5 kama sikukosea. Hata hivyo maelezo mengine nimeyapenda-:A S thumbs_up:
 
Back
Top Bottom