BASIASI
JF-Expert Member
- Sep 20, 2010
- 9,735
- 5,003
Katika kutimia maneno ya wahenga "usitukane mamba wakati ujavuka mto"" yametimia kwa aliekuwa mgombea w aujumbe kupitia chama cha mkoa wa dar drfa alhaj shaffiidauda pale alipoambulia kura mbili
shafii kama wengi mumjuavyo amekuwa akibwabwaja sana kuhusu drfa binafsi nilijua anaweza ikamsaidia lakini kumbe loh timu ilishaajulikana kitambo
katika upigaji kura shaffii alipata kura 2 na ali mayai tembele 3 kitu ambacho kinaonyesha awakujipanga ama awakuwa wanajua wanaenda kugombanaia nini ama walihisi kutumia redio kutawasaidia kuingia madarakani....
Hatimae wajumbe walinyoosha mikono yao na kuchagua wale wanaohisi wako kwa mslahi ya chama na hapo ndipo mzee wa ilala alipochaguliwa kuwa mwenyekitii
hata hivyo nampongeza shafiii kwa kujaribu ila ubaya ni toka juzi anawalalamikia wajaumbe kupitia clouds fm redio ya watu kwamba wamemtosa na wakti huo huo akitangaza uchaguzi ulikuwa wa huru sasa twajiuliza iweje anaendelea kubwabaja tena wakati amekiri ameshindwa na uchaguzi ulikuwa wa huru
zuri pale aliposema anakiri yeyey na alimayai walivamia chaka
shafii kama wengi mumjuavyo amekuwa akibwabwaja sana kuhusu drfa binafsi nilijua anaweza ikamsaidia lakini kumbe loh timu ilishaajulikana kitambo
katika upigaji kura shaffii alipata kura 2 na ali mayai tembele 3 kitu ambacho kinaonyesha awakujipanga ama awakuwa wanajua wanaenda kugombanaia nini ama walihisi kutumia redio kutawasaidia kuingia madarakani....
Hatimae wajumbe walinyoosha mikono yao na kuchagua wale wanaohisi wako kwa mslahi ya chama na hapo ndipo mzee wa ilala alipochaguliwa kuwa mwenyekitii
hata hivyo nampongeza shafiii kwa kujaribu ila ubaya ni toka juzi anawalalamikia wajaumbe kupitia clouds fm redio ya watu kwamba wamemtosa na wakti huo huo akitangaza uchaguzi ulikuwa wa huru sasa twajiuliza iweje anaendelea kubwabaja tena wakati amekiri ameshindwa na uchaguzi ulikuwa wa huru
zuri pale aliposema anakiri yeyey na alimayai walivamia chaka