Shaffi Dauda ni kijani tupu

Shaffi Dauda ni kijani tupu

dr namugari

JF-Expert Member
Joined
Nov 19, 2022
Posts
10,676
Reaction score
18,577
Mimi nilidhani yuko Qatar kumbe karudi ili kuhudhuria mkutano mkuu mkubwa wa CCM utakaofanyika tareh7-8/12/2022 mjini Dodoma.

Pia na mimi najiandaa kuanza safari usiku huu kutokea Chunya, Mbeya kupitia Tabora ili kuweza kuudhuria mkutano mkuu huo.

Nawasilisha kwa sasa safarini kutokea Chunya, Mbeya.

Screenshot_20221205-233902.jpg
 
Mimi nilidhani yuko Qatar kumbe karudi ili kuhudhuria mkutano mkuu mkubwa wa ccm utakao fanyika tareh7-8/12/2022 mjini Dodoma
Pia na mm najiandaa kuanza safari usiku huu kutokea Chunya, Mbeya kupitia tabora ili kuweza kuudhuria mkutano mkuu huo.

Nawasilisha kwa sasa safarini kutokea Chunya, Mbeya.

View attachment 2437147
AJIRA ni kwenye SIASA ndio maana hata Wezi wanakimbilia
 
Mimi nilidhani yuko Qatar kumbe karudi ili kuhudhuria mkutano mkuu mkubwa wa CCM utakaofanyika tareh7-8/12/2022 mjini Dodoma.

Pia na mimi najiandaa kuanza safari usiku huu kutokea Chunya, Mbeya kupitia Tabora ili kuweza kuudhuria mkutano mkuu huo.

Nawasilisha kwa sasa safarini kutokea Chunya, Mbeya.

View attachment 2437147
Matapeli wote wanakimbilia kwenye siasa za ccm
 
Mimi nilidhani yuko Qatar kumbe karudi ili kuhudhuria mkutano mkuu mkubwa wa CCM utakaofanyika tareh7-8/12/2022 mjini Dodoma.

Pia na mimi najiandaa kuanza safari usiku huu kutokea Chunya, Mbeya kupitia Tabora ili kuweza kuudhuria mkutano mkuu huo.

Nawasilisha kwa sasa safarini kutokea Chunya, Mbeya.

View attachment 2437147

Msaka fursa tu huyo.
 
Back
Top Bottom