Ila wageni wakipewa mshahara mkubwa sawa kwa wazawa ni nongwa ama kweli mchawi ni anayekujuaPensheni anayokula kule kwa wajingajinga hata wewe usingeikataa. Mshahara wa miaka mi3 unalipwa ndani ya mwaka m1 wewe ungekataa?
ukiwa raisi unatuahidi nini katika hili?Ila wageni wakipewa mshahara mkubwa sawa kwa wazawa ni nongwa ama kweli mchawi ni anayekujua
Watacheza wapi hao?Bado Mzamiru na Kibu wakafuate mafao yao!
Wakishawasajili wanakwambia kule walikua hawana furaha afu badae wakifulia wanakwambia tuliwasajilia ninBado Mzamiru na Kibu wakafuate mafao yao!
Ni kawaida yenu akiwa SIMBA SC mnawaita wabovu ila wakija kwenu mnawasifia.Watacheza wapi hao?
Yanga huleta wachezaji wakali kama shabalala alivyo
Sasa huyo rasta aje kufagia?
😂😂😂😂😂Wamtoe kwa mkopo aende Singida!!
Mlivyoku mna mnanga ni uchochoro, eti leo mchezaji mkalii.Watacheza wapi hao?
Yanga huleta wachezaji wakali kama shabalala alivyo
Sasa huyo rasta aje kufagia?
Mkude na Okrah walikuwa na ukali gani,?Watacheza wapi hao?
Yanga huleta wachezaji wakali kama shabalala alivyo
Sasa huyo rasta aje kufagia?
Hapo ndipo huwa nakupenda mchambuzi mahiri wa simbaMlivyoku mna mnanga ni uchochoro, eti leo mchezaji mkalii.
😂😂😂😂😂😂