SGR construction enters final stages in Nakuru.

I am just wondering entering that tunnel at such an excruciating speed,might it need ear plugs due to change in pressure?
 
So kutoka 2013-2019 mmejenga km 570 tu!! Bado unasifia kwamba pace ya ujenzi ni nzuri! Plan ya mwanzo ilibidi 2018 iwe mmefika Kigali. Ki ukweli huu mradi umechelewa sana mahesabu ya awali yamevurugika sana, kuna sehemu wakati wa planning vitu havikua sawa.

Sent using Jamii Forums mobile app

Hehehe nilidhani mtu amehack account yako ulipouliza hilo swali kistaarabu, lakini nikajua lazima kuna kitu kinakuuma.
Nyie kasafu ka 200km bado mpo mbali sana na uchaguzi huu unakaribia, nilitegemea mtakatumia kupiga mapicha ili mtafutie kura.
Hivi hadi hapo, ni kitu gani haswa utawala wa awamu ya tano unaweza kutumia kuwashawishi watu waipe kura, maana hamna kimoja mumekamilisha, hata kuhamia Dodoma ilibuma, korosho mkaangukia pua, ndege mumezipiga parking.
Japo mtapata uongozi maana CCM ilishawaroga Watanzania, wao wapo wapo tu.
 
I am just wondering entering that tunnel at such an excruciating speed,might it need ear plugs due to change in pressure?
Haha hiyo 80kph ya matreni yenu mitumba ndo unaita 'excruciating speed'?
 
• The value of land has tripled in Mai Mahiu area where the proposed industrial park that will be served by the railway will be located.

• Horticulture farmers are expected to have quicker and cheaper transport for their products via the Internal Container Depot to JKIA.


Projections indicate that it could be ready by mid this year despite compensation challenges in Ngong area.

This comes at a time when the value of land has tripled in Mai Mahiu area where the proposed industrial park that will be served by the railway will be located.

East Africa Chamber of Commerce and Industry director Kamau Njuguna a director in the project, said the SGR would change positively the face of Nakuru county.

He said that upon its completion, Naivasha would get more tourists meaning more business for the tourist resorts, the spas, the national parks, fishing and hotels.

“Naivasha will be few minutes train ride from Nairobi and this will ensure a huge stream of domestic and foreign tourists flock to enjoy all that Naivasha has to offer,” he said.

He added that the horticulture farmers would have quicker and cheaper transport for their products via the Internal Container Depot to JKIA.

“This means fresh produce gets to local and international markets faster thus enabling these businesses to grow faster and employ more people,” he said.

The chairman Naivasha Professional Association (NPA) Absolom Mukuusi said that the railway would be a huge boost to power producers in Olkaria region.

China Communications Construction Company (CCCC) have said they have constructed 80 per cent of the infrastructure, including roadbeds, culverts, bridges and station buildings.
China Communications Construction Company (CCCC) have said they have constructed 80 per cent of the infrastructure, including roadbeds, culverts, bridges and station buildings.

On their part, residents of Mai Mahiu noted that they were already feeling the effects of the railway line mainly in terms of infrastructure and value of land.

According to a community leader John Mwathi, for years the area had been neglected in terms of infrastructure but this had changed since the railway line began.

" The railway line will help the companies move their heavy equipment quickly and affordably from the Mombasa port to their sites within days instead of weeks it currently takes. "
- Chairman Naivasha Professional Association Absolom Mukuusi
“We have seen the value of land rise and the contractors have assisted in building some classes, water pans and even rehabilitating rural roads and we are grateful,” he said.

According to China Communications Construction Company (CCCC) spokesperson Steve Zhao, they had constructed 80 per cent of the infrastructure, including roadbeds, culverts, bridges and station buildings.

Zhao was optimistic that the compensation deadlock would be resolved so that the project could be finished before the year came to an end.

“Before work was stopped in July 2018, the anticipated completion day was June 2019 and with the remaining section of work not being attended to, the launch date may be delayed,” Zhao said.
My question is
Kwa nini serikali imeamua kuijenga one way na sio returns? Hatuoni ni gharama kubwa hii kama ingekuwa two way bc ingekuwa imeongezeka kidogo tu? Umekuwa ulimi wa nyoka.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hehehe nilidhani mtu amehack account yako ulipouliza hilo swali kistaarabu, lakini nikajua lazima kuna kitu kinakuuma.
Nyie kasafu ka 200km bado mpo mbali sana na uchaguzi huu unakaribia, nilitegemea mtakatumia kupiga mapicha ili mtafutie kura.
Hivi hadi hapo, ni kitu gani haswa utawala wa awamu ya tano unaweza kutumia kuwashawishi watu waipe kura, maana hamna kimoja mumekamilisha, hata kuhamia Dodoma ilibuma, korosho mkaangukia pua, ndege mumezipiga parking.
Japo mtapata uongozi maana CCM ilishawaroga Watanzania, wao wapo wapo tu.
Hahaa.. tatizo ww uko biased mimi nimeuliza na kujibu kistaarabu as always. Kazi mliyo ifanya kwa miaka 7 huku inafanywa kwa miaka 5.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom