Sex ni afya

mkuu ulikua wapy siku zote kuleta mada tamu ka hii......................ooops yani nimeisoma hadi nukta,sasa namgeukia mama watoto
 


in reds I totally disagree........with scientific reasons but may be hii ni kuhalalisha uzinzi tu.maana tuna asilimia 15% ya watu wasiofanya sex na afya zao ni fiti sana na scientific research inasema zanzibari life span yao ni ndogo ukilinganisha na bara na hasa kwa wale polygamists.......uarabuni life span inazidi kushuka tu what is that if sex is for health?

Angali watu wa far east kama china,korea, japan etc life span yao iko juu zaidi linganisha na mabingwa wa sex duniani huko amerika utaogopa....okey article hii naipa asilimia 10% ya ukweli kufuatana na research mbalmbali za kisayansi na kwa mtu mmojammoja baba Mandela yule bado anadunda,je hamtambui bibi Kidude ambaye hana mtoto hata mmoja,Dalai Lama mnamjua?,au hajui hata Nyerere alikacha sana majamboz? afya ni kanuni ya kuulisha mwili na roho katika nyanja mbalimbali kama chakula,matunda ,mazoezi,imani n.k


nimesema tu ila najua nimekwaza ....I cannot leave it becase I was born with it.
 
kuisoma tuimeondoa stress! Nikipractice si ndo balaa? Hebu nianze sasa! Ngozi ing'are mie
 

Well said but ungemalizia wafanye mapenzi Salama, au kwa mpenzi mmoja muamini.. tu
 
Hivi kuna tafauti gani kati ya anaye "sex" akiwa ameoa na yule anayefanya hivyo akiwa hakuoa? Huyu wa mwisho hatopata faida za kiafya zinazotokana na uloda?
 

aaaaaaah umenichekesha sana ndugu yangu, hebu ulizia vizuri mwayego..
 
sex makes life enjoyable especially when done without condoms

My take:kuna kaujinga ka kujiova dozi mwishowe unaamka umechoka unaanza kuleta uvivu ofisini.
 
Kazi ipo kama Sex ni Afya basi hata asiye na mke au mume anafanya kwa afya.

Yes Sex ni afya, lakini kwa walio kwenye ndoa tu. Kama ilivyoandikwa hapo juu na kwenye vitabu vya dini pia, sex inamuunganisha mwanamume na mwanamke kiroho. Sasa uanza shughuli kabla ya ndoa, utaunganishwa na wangapi?
 

Mambo LD
ukiwa na mume wa mtu utakuwa na afya ya kuungaunga sio kamili hahahahahahaha
 
FANYA SEX UONGEZE UPENDO DAIMA
[/QUOTE]

na sisi nje ya ndoa tufanye,au tutaumwa....................:juggle:
 
Mambo hayo mi nadhani yana manufaa kama yatafanyika kihalali hivi hata mtu akibaka napo kuna faida hizi tulizoambiwa!!!????
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…