bintishomvi
JF-Expert Member
- Mar 21, 2015
- 1,164
- 833
Na alifi unakufa unamuachaNa hakuna wivu wala maswali hapo.
Na alifi unakufa unamuachaNa hakuna wivu wala maswali hapo.
Shukrani gani mkuu unazungumzia hapa?Binadamu kweli hatuna shukurani![]()
Zinakufa machine seuse robort, ikifa unanunua mpya.Na alifi unakufa unamuacha
Nilisema hatuna shukrani baada ya post yako ya mwisho ukisisitizaShukrani gani mkuu unazungumzia hapa?
Kwa kutengenezewa hiyo midude?
Unajua idadi ya wanawake duniani ni kubwa kuliko wanaume?
Halafu tuongezewe na robot halafu unataka tushukuru?
Alaaniwe aliyeunda hayo makitu...
Nasisi watatutengenezea ya kwetu.Hapa kuna yaliyofichikana nyuma ya pazia.
Tumesikia takwimu nyingi kuwa idadi ya wanawake duniani ni kubwa kuliko wanaume,labda 1:4.
Halafu wanatengeneza robot wanaume wamalizie kwao matamanio ya kimwili,sisi wanawake tuende wapi kama sio kizazi cha lesbians kinapikwa hapa?
Haya makitu ni mpango maalum.
Okay mkuu,nimekuelewa. Thanks.Nilisema hatuna shukrani baada ya post yako ya mwisho ukisisitiza
"Robot moja ikikaa kaa vibaya unatafuta robot ingine ya kuchepuka
Teh teh...kulikoni hayo ni bora nifungulie mende...Nasisi watatutengenezea ya kwetu.
Teh teh...kulikoni hayo ni bora nifungulie mende...
Au ni test ile pully ya nzi nayo kama ita work effectively kama wale wadau...
Teh teh...kulikoni hayo ni bora nifungulie mende...
Au ni test ile pully ya nzi nayo kama ita work effectively kama wale wadau...
Mimi sijui mnishushie hapa ili mwende wenyewe na hii safari,!!? Maana so kwa speed hii aseedunia inakimbia sana
Nitakushushia marsMimi sijui mnishushie hapa ili mwende wenyewe na hii safari,!!? Maana so kwa speed hii asee
Siwapi....nafungulia tu waangalie.Hmmmm! uwape hao wadudu tena!!!!!!
Siwapi....nafungulia tu waangalie.
Yes....kuliko hiyo mirobot.LOL! 🙂🙂🙂 Kumbe hata nzi na mende hufaidi eh! japo kwa kuangalia tu.