OLESAIDIMU
JF-Expert Member
- Dec 2, 2011
- 19,139
- 9,575
si ndo hapoooooo!
yan hakyanani mi kaacha kuweka jina langu tu na exact tarehe!
kama sio kawahi kunila deo nn??
af maninest zake kaaangusha bomu af huyooo kaishia!!!
mfyuuuuum zako mleta mada!!
Kajua kuzua la kuzua halafu ye kacheza bila kukunja goti mdomdo!!!!!!!
Hivi kama kwenye affair kuna beef halafu hapa unakuta kuwa ni incompatible si ndio na juhudi za usuluhishi gudubai!!!!!!