Seven things women always lie about

Siku zote uongo ni asili ya mtu hakuna cha Me wala Ke hapo tofauti ni namna tunavyovipokea.

Na pia niseme tu katika yote hayo ikitokea mwanamke au mwanaume akaviamini pale anapoambiwa na huyo mpenzi wake jua ana shida sababu vingi havizuiliki hapo. Hasa namba moja na hiyo nne.

Na hiyo namba sita. Mmh.
 
Siwezi kamwe kujali mahusiano ya aliyekuwa hawala yako
Ukiona mwanamke amesema hivo ujue anakudanganya, badala yake ataangalia kwenye Instagram na Facebook ya hawala yako ili aweza kujua kama yeye yuko moto moto kuliko hawalayo na pia ataendelea kufikiria hisia zako juu ya hawalayo na kama zitakuwa sawa au zaidi kwake.
Kingereza sijui sembuse kiswahili

Teh
 
Sawaaa hata mm nina tabia hiyooo
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…