Slave
JF-Expert Member
- Dec 6, 2010
- 5,314
- 2,635
mkuu huoni kuwa tayari anajitolea kufundisha? Mimi nasema aendelee kujitolea na changamoto anazozipata zitamuongezea ujuzi zaidi.kwa nini usijitolee kufundisha maana una juhudi sana. Hongera!
mkuu huoni kuwa tayari anajitolea kufundisha? Mimi nasema aendelee kujitolea na changamoto anazozipata zitamuongezea ujuzi zaidi.kwa nini usijitolee kufundisha maana una juhudi sana. Hongera!
kwa nini usijitolee kufundisha maana una juhudi sana. Hongera!
<br />Sasa nitajitahid kwa kiswahili na msaada wa madesa ya <a href="http://www.google.com/" target="_blank">google</a>, <a href="http://www.bing.com/" target="_blank">bing</a> na <a href="http://www.wikipedia.org/" target="_blank">wikipedia</a> nikichanganya na za kwangu kufafanua aina na majukumu ya server chache moja baada ya nyingine. Pale itakapobidi nitatoa viunganisho vya reference kwa watakapenda kuchimba na kuchimbua zaidi....... kama kawa .... kuponda , kukosoa na kupenda kukanarisbihwa nisije ni kawalisha watu kasa teh teh teh <br />
<br />
<b>enhee Tuendeleeeee </b><br />
Teknoljia ya ICT ilipofikia sasa program zinateganiswha na data. na data zinatengansihwa na kanuni za biasharaau ofisi( Business logic) Kwa kitaalma kuna makundi yainaitwa N -archtecture . <br />
<br />
kitu hiki ni cha muhimu kwa mtu yeyote anatengeza application kisasa. Na kwenye taasisis nyingi Mifumo yao mingi ya computer sana sana iko katika Two tier au three tier archtecture. Muundo huu inasaidia sana. <br />
<br />
Layer tatu kuu zinazotumika kudesign application ni <b>PRESENTATION</b>, <b>LOGIC</b> au kwa jina lingine BUSINESS Logic na <b>DATA</b>. Kama uko kwenye ofisi iliyo na server na wewe sometime unashidnwa kufanya kazi zao za kiofisi server ikiwa na matatizo basi ofisi au shirika lenu linatumia moja wapo ya archetucture hizi. kwa maelezzo zaidi unaweza kuanza kwa kusoma <b><a href="http://www.linuxjournal.com/article/3508" target="_blank">hapa </a></b> na<a href="http://www.developerfusion.com/article/3058/boosting-your-net-application-performance/2/" target="_blank"> <b>hapa</b></a> bila kusahau daraja la maarifa google.<br />
<br />
<i>Machoro chini unaonyesha computer system archtecture mbili kuu zainanzotumika kwenye makampuni na mashirika mengi</i><br />
<img src="https://www.jamiiforums.com/attachment.php?attachmentid=37193&stc=1" attachmentid="37193" alt="" id="vbattach_37193" class="previewthumb" /> <img src="https://www.jamiiforums.com/attachment.php?attachmentid=37194&stc=1" attachmentid="37194" alt="" id="vbattach_37194" class="previewthumb" /><br />
Two tier archtecture Threee Tier archtecture <br />
<br />
<br />
Sasa ufafanuzi wa aina ya sevrer.<br />
<b><a href="http://en.wikipedia.org/wiki/Database_server" target="_blank">DATA base server</a></b>- iwe ni shirika binafsi, serikali , CIA, Mosad , Dafatari la mpiga kura, Kitambulisho cha Taifa, ATM, facebook ni muhimu :- <br />
<ul><li>kuhifadhi data ili ziwe salama , zisipotee, yaani security.</li><li>kuwe na copy moja ya data inayotumika ili kusiwe na haja marekebisho kwa kila copy na kuondoa uttata na <b>dublication</b> . Jiulize ingekuwaje kama kila tawi la benki lingekuwa na kumbu kumbu zake kuhusu wateja????</li><li> Data Ziwe rahisi kupatikana na kutumika wa watu wengi wakati mmoja kwa kutumia network. Mfano mtu akichomoa fedha kwenye accout yake kwa utumia ATM na wakati huo huo kuna mtu kadeposit fedha wenye account hiyo hiyo akiwa tawi jingine lisitokee tatizo</li></ul><br />
Sasa umuhimu wa data ndio umesabaisha uwepo na database sevrer amabyo yenyewe kazi yake ni kuweka data tu. Sasa kutofatisha server nyingine na database sever ni kuwa database server kama <b><a href="http://en.wikipedia.org/wiki/MySQL" target="_blank">MYSQL</a></b>, <b><a href="http://en.wikipedia.org/wiki/Microsoft_SQL_Server" target="_blank">SQLSERVER</a></b> <b><a href="http://en.wikipedia.org/wiki/Oracle_Database" target="_blank">ORACLE</a> </b>, zina sifa ya kiteknini kama <ul><li> <b><a href="http://en.wikipedia.org/wiki/ACID" target="_blank">ACID</a></b></li><li>Vile vile Zote hizi tatu ni kundi la Database linaljulikana kama <b><a href="http://computer.howstuffworks.com/question599.htm" target="_blank">Relational Database </a></b>na msingi mima wa Relationa database ni uhusianao wa table moja na nyingine unaojengwa na concept za <b><a href="http://databases.about.com/cs/administration/g/primarykey.htm" target="_blank">Primary key</a></b> na <b><a href="http://www.1keydata.com/sql/sql-foreign-key.html" target="_blank">foreign key </a></b></li></ul><br />
kwa hiyo shirika au kampuni linaweza kuwa na aina nyingi ya server lakini seva ya muhimu na crtical ni ile yenye data ambayo ni database sever . Cables za ubaloz wa USA ziliibiwakutoka kweye database server sababu kuna mtu alipata acess right kwa njia halalai au zizoso halalai then akazichukua katika soft copy..............<br />
<br />
<br />
nawasilisha
Mtazamaji nashukuru kwa darasa la nguvu!! Ki-ukweli nimejifunza mengi katika post yako.nimeweza kuona server,database,backup nk.wakati naendele nimeona nibaki katika somo moja S erver na kwakuwa kuna server nyingi mail server,print server,webserver nk mimi naona nibaki na somo la WEBSERVER kwanza.pengine webserver ni tool/softwr muhimu katika uhifadhi wa mambo yanayohusu www.kama tulivyojifunza hapo juu.
.... Kutokana na hayo hapo juu napenda niulize hatua muhimu za ujenzi wa website. Kati ya server na makorokoro yoote yanayo kamilisha site nini cha kuanzia hatua kwa hatua.au baada ya kupata sever nini kinachofuatia cpanel au?