wanajamii mimi ninarafiki yangu ambaye ni mwathirika wa HIV anatafuta mchumba wa kumuoa mwenyetatizo kama lake yeye anafanya kazi inayomwingizia kipato kiasi na ni msomi, so sad co hakupenda kuwa hivyo ambaye yupo ready awe na sifa zifuatazo
1. msomi degree level
2.anafanya kazi
3.asiwe na mtoto
4 si mnene sana
5.mrefu wa size sio mfupi
please wanajamii kama yupo mwenye hilo tatizo na hizo sifa ajitokeze
1. msomi degree level
2.anafanya kazi
3.asiwe na mtoto
4 si mnene sana
5.mrefu wa size sio mfupi
please wanajamii kama yupo mwenye hilo tatizo na hizo sifa ajitokeze