Looohninaheshimu sana vigezo vyako lakini pia ninaheshimu zaidi vigezo vyangu.
Kigezo changu kimoja ni mtu awe member kwa zaidi ya mwaka mmoja.
Hivyo,
Nimeanza kukufuatilia (na kuomba dua ubaki single) mpaka mwakani...kama dua yangu itakuwa imesikizwa basi mwenyewe bila kulazimishwa wala kuona soni nitajisogeza PM kwako.
Kwa sasa endelea kuchangia majukwaa mengine tafadhali.
Mpendwa wa siku za mbeleni,
Mentor.
CC; RRONDO - naamini nimefanya chaguo lililo bora bro!
Hujaulizwa wala hujalazimishwa, kila mtu na Uhuru wake na imani yake.Mimi umenikosa sababu ya dini yako! Siwezi oa muislamu ata km atakubali kubadiri dini.
Habari zenu wote.. Ikiwa imetimia mwaka mmoja bila kuwa na mahusiano tangu niachane na mwanaume ambae nilimfumania na rafiki yangu na kupelekea kuachana nimeamua sasa kuingia rasmi kwenye relationship na mwanaume naemuhitaji kwanza;
1.Awe mchamungu
2.awe mpole kiasi
3.awe tayari kupima
4.awe na elimu ya juu kidogo kuliko maana mm Nina diploma
5. Mrefu kiasi mweupe kiasi au maji ya kunde asiwe mweusi sana
6. Awe anajielewa Mwenye future, vision na awe na Kazi inayomwingizia kipato
7. Miaka 28-35
8. Awe tayari kutofanya mapenzi mpaka tufunge ndoa au mpaka nitakapojiridhisha kwamba yeah he deserves to be my future hubby.
Mwisho wa yote awe na mapenzi ya dhati na ambae atajifanya analeta janjajanja asijisumbue Kabisa ..
Sifa zangu mom
1. Maji ya kunde
2. Elimu diploma
3. Nimeajiliwa
4. Dini muislam
Pm kwa maelezo zaidi
N:B Asiyekunywa pombe
Its non of ur business, pita HV wala hutopungukiwa chochote na mm sitafute mume kwa lazima natafuta taratibu na kwa kurelax so kama hii thread haikuhusu pita vile
Mashart ganLegeza basi masharti mdada watu tutangaze ndoaaaa, kesho asubuhi.
Mmmh ila hapa imeonyesha ni kwa walio wengiUmewakamata kwa wanaume uchwara ila sio kwa wale wanaojielewa...
Kwani umeona sehemu nimeandika natafuta dini yoyote?Mimi umenikosa sababu ya dini yako! Siwezi oa muislamu ata km atakubali kubadiri dini.
Thank u diaAll the best my dear
Habari zenu wote.. Ikiwa imetimia mwaka mmoja bila kuwa na mahusiano tangu niachane na mwanaume ambae nilimfumania na rafiki yangu na kupelekea kuachana nimeamua sasa kuingia rasmi kwenye relationship na mwanaume naemuhitaji kwanza;
1.Awe mchamungu
2.awe mpole kiasi
3.awe tayari kupima
4.awe na elimu ya juu kidogo kuliko maana mm Nina diploma
5. Mrefu kiasi mweupe kiasi au maji ya kunde asiwe mweusi sana
6. Awe anajielewa Mwenye future, vision na awe na Kazi inayomwingizia kipato
7. Miaka 28-35
8. Awe tayari kutofanya mapenzi mpaka tufunge ndoa au mpaka nitakapojiridhisha kwamba yeah he deserves to be my future hubby.
Mwisho wa yote awe na mapenzi ya dhati na ambae atajifanya analeta janjajanja asijisumbue Kabisa ..
Sifa zangu mom
1. Maji ya kunde
2. Elimu diploma
3. Nimeajiliwa
4. Dini muislam
Pm kwa maelezo zaidi
N:B Asiyekunywa pombe
Embu mwambie kana kwamba huu uzi nimemwekea yeye yaani watu wengine bhana afu mm hakuna sehemu nimeandika natafuta wa dini yoyoteHujaulizwa wala hujalazimishwa, kila mtu na Uhuru wake na imani yake.
Good luck and all the best.
26?? Still young asee natafuta kwa kurelax na sikurupukiKumbuka umri nao unasepa
Dah.... Usijichanganye... kwa mwanamke kuna umri wa kutafuta mume.. na umri wa kutafuta mtoto26?? Still young asee natafuta kwa kurelax na sikurupuki
Dah.... Upole ndiyo sifa mama ya mkeIts non of ur business, pita HV wala hutopungukiwa chochote na mm sitafute mume kwa lazima natafuta taratibu na kwa kurelax so kama hii thread haikuhusu pita vile
26?? Still young asee natafuta kwa kurelax na sikurupuki