Natafuta mchumba kokote aliko,mie ni mwanaume umri wangu mika 31..awe na miaka chin na hiyo na kuendelea.cyo rang,cyo dini wala elimu.cyo kabila coz hatuoani ili tuje kutambika..mwenye nia thabit anipm.vigezo na mashart kuzingatiwa.
hukufanikiwa kwayule jamaa anayetaka weupe waliofungasha?ni pm aisee maana huu mwaka nina nia kabisa
ila wallet iwe inasomeka kiukweli
nimechoka na shida za dunia hii
nataka kula raha kidogo
sikupata bwana nipigie debe kwa huyu jamaa basihukufanikiwa kwayule jamaa anayetaka weupe waliofungasha?
sikupata bwana nipigie debe kwa huyu jamaa basi
Ila jamaa anatafuta nyumba ndogo! uko tayari?sikupata bwana nipigie debe kwa huyu jamaa basi
Tumekuona....safari njema na karibu tenaNapita tu mie!