Serikalini dokezo linasainiwa kwa miaka mitatu

Serikalini dokezo linasainiwa kwa miaka mitatu

mirindimo

JF-Expert Member
Joined
Nov 2, 2009
Posts
1,042
Reaction score
2,143
Mkuu wa kitengo anapelekewa dokezo 2020 anakuja kulisaini 2023. Hii nchi CCM mnatufikisha mahala pa ajabu sana. Hawa watu kwanini mnawaacha Ofisini?
 
Back
Top Bottom