Serikali Zanzibar yaiomba Tume ya Nguvu za Atomu Tanzania (TAEC) kudhibiti matumizi salama ya vyanzo vya mionzi nchini

Ojuolegbha

JF-Expert Member
Sep 6, 2020
738
478
Serikali Zanzibar yaiomba Tume ya Nguvu za Atomu Tanzania (TAEC) kudhibiti matumizi salama ya vyanzo vya mionzi nchini

Rais wa Zanzibar Dk. Hussein Ali Mwinyi amesema hayo alipoweka jiwe la msingi la ofisi ya maabara ya Tume hiyo kwa Zanzibar, huko Dunga Zuze, Wilaya ya Kati Mkoa wa Kusini Unguja.

Dk. Mwinyi alisema Taifa linatumia teknolojia ya nyuklia katika Nyanja mbalimbali na kueleza sayansi na teknolojia ya nyuklia ina manufaa makubwa ikitumiwa vizuri, itasaidia kuongeza kasi ya ukuaji wa sekta mbalimbali za uchumi ikiwemo kilimo, mifugo hususan ng’ombe.

IMG-20230216-WA0042.jpg
 
Taarifa Kwa Vyombo Vya HabariView attachment 2519295
Taifa la watu chini ya 2M, ifike sehemu tuimeze Zanzibar na ikulu hiyo itumike kama ofisi ya Mkuu wa Mkoa.

But apart from that, kama ni ngumu tuifanye kila mkoa iwe na Rais wake ok, make huu ni unyonyaji wa waziwazi ambao Zanzibar inaifanyia Tanganyika (Tanzania bara)

Zanzibar ina Rais, makamu rais, baraza la mawaziri, bunge, bunge la JMT, wakuu wa Wilaya na mikoa hadi huku bara wanapewa, mashirika zote za JMT wamo, bt ni taifa la watu millioni moja point tu huu sio poa

Hakika nchi ni moja, tunahitaji serikali moja, tuimeze Zanzibar haraka iwezekanavyo kwa maslahi mapana ya Tanzania na watu wake wote.
 
Back
Top Bottom