kakuruvi
JF-Expert Member
- Sep 2, 2009
- 770
- 256
Unaweza kuona ni jambo dogo ila mengi yatatokea, pamoja na muda mwingi kupotea, uchumi kuzorota, vile vibaba na vimama vikware leo vikichelewa kurudi nyumbani baada ya kukipitia kona vitasingizia tabu ya mafuta, serikali isipotoa suluhisho tunaelekea wapi?