Mbona waliishajulikana. Halafu hiyo sio kazi ya CIA.hao CIA wakawatafute walioua notorius Big na Tupac kwanza
Acha uzwazwaMarekani mpaka leo hawajaweza kufahamu mwanamziki wao mkubwa Notorious Big na vile vile Tupac waliuawa na nani. hlafu wanataka sisi tujue nani kaua nani kwa kipindi kiduchu hiki. Khaa!
Kweli kabisaWaruhusu uchunguzi huru waache visingizio.
Tatizo lako unachukulia watu wote wanaccm na wanachadema. Kumbuka kuna Watanzania wasio na vyama nao wanaumizwa, haki zao zinakiukwa kwa hiyo kama bindamu mwenye utu ni lazima uguswe na haya yanayotokea ndani ya taifa letu bila kujali itikadi zetu. Ni vema Mungu atupe roho ya kujali utu wa Mtanzania.Utofauti ni upi exactly, kwamba hao more than 30 wa kibiti ambao wengi waliouliwa ni wa ccm are lowlifes, compared to these few of chadema and a journalist. Shame on you guys