Serikali yatoa ramani mpya ya Tanzania

embu watu tuwe na mtizamo mpana zaidi... Kwa tz kutoa ramani sio kwamba ndio imetatua tatizo la mpaka... Hili ni tatizo kati ya mataifa mawili tofauti huwezi kutumia hoja za upande mmoja tuu na kusema tayari u-meclear boundary dispute. Ujue kwamba wamalawi nao wanaweza kutoa ramani yao kuonyesha mpaka upo offshore kwetu.... Je utasema ume-clear dispute kwa sababu ramani yao mpya inaonyesha mpaka upo offshore.
Tunatakiwa kujenga hoja kama watu wanaotafakari agenda na sio tuu ushabiki kwa sababu wewe ni mtanzania au mmalawi.
Kwa mtizamo wangu ramani haina nafasi yoyote kwenye mtafaruku huu unless kama ingetolea na thirdparty organ like AU au UN ndio ingeleta uzito kwenye majadiliano na mtizamo. Watanzania tusiwe watu wa kukurupuka kudandia hoja bila kujipanga na kuchambua masuala kama Great Thinker. Inatakiwa tujadili ni jinsi gani kutaconvince wenzetu kwa nini mpaka uwe kati kati na sio offshore, na sio kung'ang'ania tuu kuwa toka zamani ipo hivyo. Ieleweke kuwa wenzetu wana mkataba wanaoutumia kujenga hoja na wana sababu za kuutumia na kuutambua mkataba huo... Logic sense hazifanyi kazi kwenye mazingira ambayo tayari yana mkataba unaotoa maelekezo.
Tusipobadilisha mtizamo wa kushughulia mambo kwa kuyatafari kwa kina, then kuna hatari ya kushindwa kwenye case nyingi kwenye sura ya kimataifa. Kwa hiyo ramani hii mpya haina nguvu yoyote kwenye mgogoro huu na majirani zetu.

Good point!........sidhani kama watu wanasema kwa serikali kutoa hiyo Ramani ndio tumemaliza "gogoro" lililopo..........kinachosemwa hapa ni kama ifuatavyo:

Under sheria za nchi...idara husika imetoa ramani ili kuondoa confusions zilizopo nchini....kwani kuna versions za kila aina za ramani ya Tanzania....hadi kwenye majengo mengine ya seriakali........we were just taking this matter lightly!!.......wakati versions za ramani zetu nyingi hadi machinga mtaani wanaziuza.......zina makosa kibao..........

pili, baadhi ya wajumbe wanatoa wito kwa wahusika kuwajibika na kuwa proactive na sio kuwa reactive..........
 
Hii ramani kachora mbongo mwiz wa kila kitu, kweli akili moja inaweza kufuta uhalisia wa ramani zilizoko duniani kote, hii mutaitambua nyinyi tu, na kwanini ichorwe leo? Huu ni wizi wa Kitanganyika .

Dah, nina mashaka na uelewa wako, jiulize tu, nchi zinapomeguka e.g Sudani na Sudan Kusini, Eritrea na Ethiopia, ramani zilibaki vile vile? Au zilirekebishwa! Najua utakuwa ulishapata jibu. Kwa maana hiyo, ramani hiyo itapelekwa kote huko na kuonesha ongezeko na mipaka mipya ya tanzania. Pia nchi nyingi tu zimebadilisha mipaka na majimbo yao ya ndani na kuja na mipaka mipya kwa ndani, hili si suala jipya mkuu.
 
ramani hii inahusu mikoa na wilaya kimsingi,ukiangalia tanzania ni ya mwaka 1964 na tanganyika ni kabla ya 1964.pia ukiangalia znz ni visiwa ambavyo vlko nje ya ramani ya tanganyika,je hili litaleta ushawishi wa kimantiki kuhusu mpaka wetu na malawi?
 
  • Inaonyesha mpaka wa Tanzania na Malawi .
  • Mikoa mipya na wilaya mpya 19.
attachment.php

Ipo poa sana, Joyce Banda ajipange!
 
Tanzania Tunaishi zaidi kwa Mazoea kwa vile baadhi ya watanzania wameitumia fursa hiyo kujitengenea maisha yao binfsi hivyo kila jambo lipo shaghala baghala.
 
Idawa,
Advocate Jusa, mimi, hata wewe msimamo wetu mmoja, we love our country which we call it "our motherland yaani Tanzania". Tofauti ni kuwa huyo aliyechapisha hiyo ramani ameandika hiyo ramani ni "Mpya"; yaani kulikuwapo "ya zamani" na sasa tumechapisha mpya. Swali letu ni kuwa hivi serikali sasa imechapisha ramani "mpya" baada ya Malawi kulalamika? Halafu hapo juu ulivyomjibu Advocate Jusa ndiyo kitu uliyotakiwa kuandika in the first place. In my opinion our Government have been sleeping; hii ya mipaka lazima tuwe macho siku zote.

Serikali inaweza kukujibu kwamba imechapisha ramani mpya baada ya mchakato wa kugawa nchi katika mikoa mipya kumalizika. Hayo mengine ya Malawi yamebaki kama yalivyokuwa zamani.
 
“In the new map, the boundary between Tanzania and Malawi is in the middle of lake Nyasa as it is shown in the old map,” said Dr Mayunga
 
Reacting to the development, Deputy Minister of Foreign Affairs Rachael Zulu said in an interview yesterday that the government would challenge the development at the next round of discussions with Tanzania over the dispute.


"I am not sure if we expected this. That's a very new development to the situation and it will be subject to discussions as well. However, this is a legal matter and we will have to map the way forward," said Zulu, observing that despite the development, round table talks would continue between the two.
"This will not jeopardise the talks. We are still waiting for the attorney generals of both countries to exchange legal opinions, once that is done, the dates will be set for a fresh round of talks," Zulu said.
The Citizen newspaper of Tanzania quotes that country's Director of Survey and Mapping in the ministry of Land, Housing and Human Settlement Development, Selasie Mayunga as saying the new map now clears the "confusion" regarding the Tanzania-Malawi border on the lake which Tanzania calls Nyasa.


"In the new map, the boundary between Tanzania and Malawi is in the middle of Lake Nyasa [Malawi] as it is shown in the old map," Mayunga is quoted as saying in The Citizen.
The move should come as a surprise to Lilongwe at a time government officials of both countries have been making assurances to commitment to the talks.
The last round of talks, scheduled for Tanzania were postponed after Tanzania signalled that it was not ready with its legal case.
 
Duh .. my TZ geography knowledge has essentially ''expired''! Maana ndiyo kwa mara ya kwanza naona majina ya ajabuajabu kama Mkalama, Itilima, Mlele, Wagingómbe, Momba, etc. My knowgeography ya TZ upya
 
Back
Top Bottom