Unakosoa wakati wewe umeandika "chality", ndio kingereza gani?Acha kuchafua kingereza. Chality begins siyo begin. Hiyo inawakilisha third personal pronoun singular
Unakosoa wakati wewe umeandika "chality", ndio kingereza gani?Acha kuchafua kingereza. Chality begins siyo begin. Hiyo inawakilisha third personal pronoun singular
ujinga uko wapi hapo?Hiv huwez kuficha ujinga wako?
Kwa hiyo anainyoosha kuelekea Chato?Hongera magufuli kwakunyoosha nji hii.ilikuwa imepindapinda
Nyie ndio watu mnawafanya watawala wajione wako sahihi muda wote.. Wewe inakuuma nini wananchi kuhoji why always mambo yanaenda huko? Hebu tuanze na wewe Wilaya yako imetengewa bajeti ya sh ngapi kwa ajili ya maji na uwanja wa ndege.TCU haijakosea kabisa, namna michango ya watu humu ilivyo? Yaani hawaulizi hata kutaka kujua huo mpango ulikuwa wa lini, unajumuisha sehemu gani nyingine za nchi, je kuna sehemu au wilaya myingine zina miradi ya maji mikubwa kama hiyo, je Chato kuna shida au uhaba wa maji, wenyewe ni kutaka kuona watu wa Chato hawa enjoy haki zao kama wananchi wengine wa nchi hii kwa vile tu mtoto wao amekuwa Rais wa nchi. Kufikiri kweli kazi lakini kama imekuwa kazi kubwa namna hii hata kwa watu ambao wana nafasi ya kupata taarifa sahihi wakiwa wamekaa mbele ya gadget zao, basi tuna tatizo kubwa zaidi. Tumekuwa watu wa kupenda uzushi, uongo, uzandiki, fitina na uchonganishi utadhani katika hilo kuna la maana tutakalovuna. Haya tuendelee na kuzikiji haja ya hamu na ashki zetu. Wanasema zoea zoea watu utakuja zoea majini. Endekezeni endekezeni ashki zenu mtakuja kupata ashki za ushoga!
Why Chato everyday?Inamaana hao ndio wanahitaji huduma sana kuliko wengine?
Hivi bajeti za Chato hazihitaji kupitishwa na bunge!
u
ujinga uko wapi hapo?
umeshinda mkuu,Tafakar utauona
Wale wazee wa kupongeza watakuja na wimbo "kwani chato sio Tanzani!" ebu orodhesheni miradi mingine inayoendelea chato mi naanza na chato international airport, jengo kubwa la TRA, msd nk
umeshinda mkuu,
raia mna matusi ya kuudhi sana, i wish i could be.....