Serikali yatenga mamilioni ya fedha kukamilisha miradi mikubwa ya maendeleo Nchini

mchangamadini

Member
Jun 1, 2017
59
28
Nchi ya viwanda ileeèe kwenye kona. Jamani huu ni ukweli mchungu. Tunafurahi kuona bajeti ya mwaka huu ya wizara ya ujenzi mawasiliano na uchukuzi inavyoenda kutatua changamoto Katika miradi mikubwa ya maendeleo na kufanikisha kukamilika kwake. Miradi mikubwa inayoenda kukamilika ni hii hapa chini.

1. Kukamilisha barabara zote za lami kuunganisha mikoa yote nchini. Barabara ya manyoni kigoma kupitia tabora na Ile ya mbeya rukwa katavi. Pamoja na barabara zote nchini ambazo zilikuwa hazijakamilika.

2. Kujenga na kuboresha viwanja vya ndege nchini.
3. Kupanua bandari ya Tanga na ya mtwara
4. Kuendelea kukamilisha ujenzi wa reli ya kisasa inayotoka Dar hadi mwanza, kigoma na arusha.

Hii ndio TANZANIA tuitakayo. Hongera sana Rais Magufuli
 
Nchi ya viwanda ileeèe kwenye kona. Jamani huu ni ukweli mchungu. Tunafurahi kuona bajeti ya mwaka huu ya wizara ya ujenzi mawasiliano na uchukuzi inavyoenda kutatua changamoto Katika miradi mikubwa ya maendeleo na kufanikisha kukamilika kwake. Miradi mikubwa inayoenda kukamilika ni hii hapa chini.

1. Kukamilisha barabara zote za lami kuunganisha mikoa yote nchini. Barabara ya manyoni kigoma kupitia tabora na Ile ya mbeya rukwa katavi. Pamoja na barabara zote nchini ambazo zilikuwa hazijakamilika.

2. Kujenga na kuboresha viwanja vya ndege nchini.
3. Kupanua bandari ya Tanga na ya mtwara
4. Kuendelea kukamilisha ujenzi wa reli ya kisasa inayotoka Dar hadi mwanza, kigoma na arusha.

Hii ndio TANZANIA tuitakayo. Hongera sana Rais Magufuli
Lumumba at work
 
Hiyo ni kiduchukiduchu sio fedha ya kwenda kukamilisha wewe acha siasa kawaeleze mibwege isio jua mambo yanavyokwenda serekalini!
 
Serikali huwa haijengi viwanda bali kazi ya Serikali ni kuweka mazingira bora yanayowavutia wawekezaji katika sekta ya viwanda. Ujenzi wa miundombinu ya usafirishaji na umeme wa uhakika ni moja ya vitu muhimu katika kuwavutia wawekezaji.
Tumebakisha mwaka mmoja tu turudi kwny Election inamaana hadi leo hawajafanikiwa kuwavutia tu wawekezaji.
 
Nchi ya viwanda ileeèe kwenye kona. Jamani huu ni ukweli mchungu. Tunafurahi kuona bajeti ya mwaka huu ya wizara ya ujenzi mawasiliano na uchukuzi inavyoenda kutatua changamoto Katika miradi mikubwa ya maendeleo na kufanikisha kukamilika kwake. Miradi mikubwa inayoenda kukamilika ni hii hapa chini.

1. Kukamilisha barabara zote za lami kuunganisha mikoa yote nchini. Barabara ya manyoni kigoma kupitia tabora na Ile ya mbeya rukwa katavi. Pamoja na barabara zote nchini ambazo zilikuwa hazijakamilika.

2. Kujenga na kuboresha viwanja vya ndege nchini.
3. Kupanua bandari ya Tanga na ya mtwara
4. Kuendelea kukamilisha ujenzi wa reli ya kisasa inayotoka Dar hadi mwanza, kigoma na arusha.

Hii ndio TANZANIA tuitakayo. Hongera sana Rais Magufuli
Hakuna anayepinga miradi hii na wala aisiyefurahishwa nayo. Lalamiko la watu wengi ni kwamba vyama vya siasa vya upinzani vinabanwa na kuzuiwa kufanya shighuli zao. Hata raia mmoja mmoja wanaogopa kuikosoa serikali. Kama ni suala la miradi hata serikali ya kikolono ilitekeleza miradi kadhaa lakini tuliwakataa tukitaka heshima ya utu wetu. Hata makaburu wa SA walijenga miundombimu sawa sawa na ya 1st world lakini hiyo haikuwa sababu ya Mandela na wenzie kunyamaza na kusifia kwammba "Hiyo ndiyo SA tuitakayo"
 
Nchi ya viwanda ileeèe kwenye kona. Jamani huu ni ukweli mchungu. Tunafurahi kuona bajeti ya mwaka huu ya wizara ya ujenzi mawasiliano na uchukuzi inavyoenda kutatua changamoto Katika miradi mikubwa ya maendeleo na kufanikisha kukamilika kwake. Miradi mikubwa inayoenda kukamilika ni hii hapa chini.

1. Kukamilisha barabara zote za lami kuunganisha mikoa yote nchini. Barabara ya manyoni kigoma kupitia tabora na Ile ya mbeya rukwa katavi. Pamoja na barabara zote nchini ambazo zilikuwa hazijakamilika.

2. Kujenga na kuboresha viwanja vya ndege nchini.
3. Kupanua bandari ya Tanga na ya mtwara
4. Kuendelea kukamilisha ujenzi wa reli ya kisasa inayotoka Dar hadi mwanza, kigoma na arusha.

Hii ndio TANZANIA tuitakayo. Hongera sana Rais Magufuli
Kabisa umeamini?
2019 Mungu akijalia tutaona ni mangapi kati ya hayo yatakuwa yametekelezwa.
Wabongo mnanishangazaga sana. Udanganywe mara ngapi?
 
Mbona hakuna jipya, miaka yote hiyo miradi inatengewa pesa lakini haikamiliki.
Kwa hiyo isitengewe, eti eh. Ndio akili zenu. Hujiulizi fedha mlizotengewa chadema zimekamilisha nn.
 
Nchi ya viwanda ileeèe kwenye kona. Jamani huu ni ukweli mchungu. Tunafurahi kuona bajeti ya mwaka huu ya wizara ya ujenzi mawasiliano na uchukuzi inavyoenda kutatua changamoto Katika miradi mikubwa ya maendeleo na kufanikisha kukamilika kwake. Miradi mikubwa inayoenda kukamilika ni hii hapa chini.

1. Kukamilisha barabara zote za lami kuunganisha mikoa yote nchini. Barabara ya manyoni kigoma kupitia tabora na Ile ya mbeya rukwa katavi. Pamoja na barabara zote nchini ambazo zilikuwa hazijakamilika.

2. Kujenga na kuboresha viwanja vya ndege nchini.
3. Kupanua bandari ya Tanga na ya mtwara
4. Kuendelea kukamilisha ujenzi wa reli ya kisasa inayotoka Dar hadi mwanza, kigoma na arusha.

Hii ndio TANZANIA tuitakayo. Hongera sana Rais Magufuli

Mlikua wapi kabla ya hii code 26042018?
 
Back
Top Bottom