TUMBIRI
JF-Expert Member
- May 7, 2011
- 1,933
- 1,199
Jamani habari ndio hiyo, ni utaratibu wa Serikali kila mwaka unapoanza Watumishi wake hupandishwa ngazi ya mshahara lakini toka mwaka huu wa fedha uanze na tunakaribia kumaliza nusu ya kwanza bado watumishi hatujapandishwa 'Increment' zetu ambazo ni stahili zate kulingana na waraka wa Utumishi wa Umma. Mi binafsi nalipwa TGSF2 tangu mwaka jana badala ya TGSF3 ya mwaka huu.
Kama wameishiwa waseme tu, sisi tupo tayari kuwasamehe hizo Increment lakini kukaa kimya si dawa ya kutiba ugonjwa - Mficha Uchi hazai.
Mheshimiwa Moderator,
Naomba kutoa hoja.
Kama wameishiwa waseme tu, sisi tupo tayari kuwasamehe hizo Increment lakini kukaa kimya si dawa ya kutiba ugonjwa - Mficha Uchi hazai.
Mheshimiwa Moderator,
Naomba kutoa hoja.