Serikali yashangaa gesi ya kupikia kupanda bei, yataka viwanda vieleze sababu ya ongezeko hilo

Mkuu hapo hakuna kitachobadilika, hao wenye viwanda watatoa pesa na mambo yataendelea
Hao Ewura watakuwa na utapiamlo wa akili.

Hiyo gas inasafirishwa kwa maji kwenda kwenye masoko? Umepandisha bei ya mafuta, gharama za malori mpaka bodabida zimepanda, sasa hiyo gas inabebwa kichwani?
 
Mbona Maisha ya mtu wa chini yanazidi kua magumu awamu hii ya sita?
Mara tozo
Mara Bei ya mafuta na Sasa hii bbei ya gesi.
Hivi viongozi wa hii serikali hawajui kwamba Bei ya gesi ikipanda misitu itazidi kuteketea.
Wanasema kuwa kuke kanda ya ziwa kuna uwezekano wa kutumia kinyesi cha ng'ombe. Na bei za nyasi porini hazijapanda.

Kule ambako hakuna ng'ombe, wanakima sana mahindi, watumie mabua na magunzi ya mahindi kupikia.
 
Jumong anafungua nchi
 
elezeni ELEZENI TOZO ZA SIMU KWANZA ZINAUHALALI GANI ,KABLA YA KUGEUKIA GESI
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…